Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Nimelizwa kama mara tatu hivi. Mbaya zaidi hata baada ya kula na kumwambia unakuta bado muuzaji anabisha. Utasikia ni 'kienyeji sema ni majogoo wakubwa kutoka Singida, Sumbawanga etc'. Pia wauzaji wengi ukiwauliza huyu ni kuku wa kienyeji au wa kisasa atajibu kienyeji wachache sana husema ukweli. Siku hizi nemeacha kabisa kuku za kununua. Umewahi kutana na hii ishu?
