Umewahi?

Umewahi?

Kimbweka

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2009
Posts
8,597
Reaction score
1,690
Kula Sambusa yenye pembe tatu kamili
Ni tamu
Kama hujawahi nenda Kajaribu
 
kweli huu ni mwanzo mzuri wa weekend,, wapi napatia mimi hiyo pembetatu???
 
hivi kwani kuna sambusa ya pembe mbili au moja?labda uulize kama tumewahi kula sambusa.me sijawahi hebu nieleze huo utamu wake ati!
 
naona weekend inaanza ngoja nikajaribu kibweka .....
 
dah yale yale ukishangaa ya musa utaona ya firauni, mbaya zaidi details za hiyo kitu ametumegea kwa uchoyo,
 
nenda gulion utazpata!!1
eeh mzgo wangu mwanaume wewe vp upo?

mmmmmmh!gulio katerero au?
mzigo wako ninao wala usikonde, nisahau tena shost?nipe logistics za kukutana nikukabidhi!
 
Back
Top Bottom