Nliwahi kutana na binadamu wa ajabu usiku nikiwa na mdg wangu nlikuwa form 2 enzi hizo usiku wa saa 2 aliwaka upande mmoja wa ubavu wa uso kama chuma kilichowekwa kwenye moto, cha kushangaza tulipishana nae na watu wengine wanatembea katika wote mimi ndio nliona hilo tukio hata dogo nlimwonyesha anasema haoni kitu nlikatwa jicho moja kali tukakimbiaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.