Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wanataka kuigiza mchezo tuliowafanyia kwa kapombe na ChamaNdio 40 ya Tuisila Kisinda pia?
Naona wamemuweka ndani muda mrefu sana!
Weka kumbukumbu sawa walifungwa na DenimarkKujiamini sana ndiko kulikomponza Yuda Eskarioti aitwe msaliti hadi leo. Nigeria nao wolrdcup ya mwaka 1998 walijiamini sana wakaanza kucheza na Brazil kabla hawajacheza na Paraguay maana waliona teyari huyo wameisha mfunga matokeo yake wakapwiga bao 4- 1 wakafungasha vilago. Na Simba nao wameanza kucheza meche na Kaizer chief kabla ya kuchaza na Yanga, haya tusubiri tuone.
Unakumbuka lakini mara ya mwisho kunifunga ligi kuu ilikuwa mwaka gani?Ni kweli Jmosi ni siku ya mazoezi, tunasubilia mechi ya pesa hii ya 40Mfc tumesha zoea tunajipigia tu.
Sikumbuki ila nakumbuka Mtani usha kufa 5 zero, harafu mwaka juz FA 4G, koo 40M fc jiandae tuUnakumbuka lakini mara ya mwisho kunifunga ligi kuu ilikuwa mwaka gani?
Umesoma vizuri nilichouliza? Kuhusu hizo 5 huenda umeanza juzi kuzifatilia hz timu deni unalonidai mtani ni 6 zile 5 za 2012 ulikuwa unalipa deni mm ndie wa kwanza kukuweka goli 5 ukisema nisilete mambo ya historia basi wewe pia usiongelee hzo 5 ni kitambo takribani miaka 9 sasa mm ni mwanasport si shabiki maandazi nakumbuka tulikula gongo 4 fa kwenye ligi pamoja na ubovu wangu misimu yote mitatu hii unakumbuka mara ya mwisho kunifunga ilikuwa lini? Kwa sasa simba iko vizuri huu ni ukweli mchungu lakini point yangu si mm wa kunipigia pira biriani refer mechi 3 za mwisho tulizokutana nakujua vizuri sana mtani kiukweli ule mpira mwingi huwa unaupiga na akina as vita ahly ilipaswa nikuogope mtani nisilete timu taifa lakini ona kinachotokeaga taifa sometimes huwa napata mashaka ule mpira ni kiwango chako halisi au kuna vitu unaongezea ongezea? Mbona ukicheza nami sioni hilo biriani? msijiamini sana hii ni derby lolote laweza tokea japo nakiri siko vizuri hii si yanga ya misimu minne nyuma lakini kumbuka hii ni yangaSikumbuki ila nakumbuka Mtani usha kufa 5 zero, harafu mwaka juz FA 4G, koo 40M fc jiandae tu
Itakuwa kweli mkuuWadau
Siyo maneno yangu ila nimewanukuu wapenzi wa Simba muda mfupi ulipita kupitia Luninga.
WanaSimba Wanasema.
Kwamba Mei 8 watakutana na Yanga kwa ajili ya mazoezi kujiandaa na mechi na Kaizer Chiefs.
Kwamba wanaYanga wote wenye pressure wasiende uwanjani siku hiyo!
Wewe ni miongoni mwa mashabiki wachache sana wa Yanga wanaojitambua.Umesoma vizuri nilichouliza? Kuhusu hizo 5 huenda umeanza juzi kuzifatilia hz timu deni unalonidai mtani ni 6 zile 5 za 2012 ulikuwa unalipa deni mm ndie wa kwanza kukuweka goli 5 ukisema nisilete mambo ya historia basi wewe pia usiongelee hzo 5 ni kitambo takribani miaka 9 sasa mm ni mwanasport si shabiki maandazi nakumbuka tulikula gongo 4 fa kwenye ligi pamoja na ubovu wangu misimu yote mitatu hii unakumbuka mara ya mwisho kunifunga ilikuwa lini? Kwa sasa simba iko vizuri huu ni ukweli mchungu lakini point yangu si mm wa kunipigia pira biriani refer mechi 3 za mwisho tulizokutana nakujua vizuri sana mtani kiukweli ule mpira mwingi huwa unaupiga na akina as vita ahly ilipaswa nikuogope mtani nisilete timu taifa lakini ona kinachotokeaga taifa sometimes huwa napata mashaka ule mpira ni kiwango chako halisi au kuna vitu unaongezea ongezea? Mbona ukicheza nami sioni hilo biriani? msijiamini sana hii ni derby lolote laweza tokea japo nakiri siko vizuri hii si yanga ya misimu minne nyuma lakini kumbuka hii ni yanga
40m fc biriani utaliona J mosi achana na Mapinduz Cup ya akina DUCHU, saivi utapigiwa biriani, sharubati vyote mchanganyiko mtani koo jiandae tu kisaikolojia π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ yaani mtani utakufa vibaya sanaUmesoma vizuri nilichouliza? Kuhusu hizo 5 huenda umeanza juzi kuzifatilia hz timu deni unalonidai mtani ni 6 zile 5 za 2012 ulikuwa unalipa deni mm ndie wa kwanza kukuweka goli 5 ukisema nisilete mambo ya historia basi wewe pia usiongelee hzo 5 ni kitambo takribani miaka 9 sasa mm ni mwanasport si shabiki maandazi nakumbuka tulikula gongo 4 fa kwenye ligi pamoja na ubovu wangu misimu yote mitatu hii unakumbuka mara ya mwisho kunifunga ilikuwa lini? Kwa sasa simba iko vizuri huu ni ukweli mchungu lakini point yangu si mm wa kunipigia pira biriani refer mechi 3 za mwisho tulizokutana nakujua vizuri sana mtani kiukweli ule mpira mwingi huwa unaupiga na akina as vita ahly ilipaswa nikuogope mtani nisilete timu taifa lakini ona kinachotokeaga taifa sometimes huwa napata mashaka ule mpira ni kiwango chako halisi au kuna vitu unaongezea ongezea? Mbona ukicheza nami sioni hilo biriani? msijiamini sana hii ni derby lolote laweza tokea japo nakiri siko vizuri hii si yanga ya misimu minne nyuma lakini kumbuka hii ni yanga