Umiliki wa ardhi ndani ya rasimu ya pili ya katiba

Umiliki wa ardhi ndani ya rasimu ya pili ya katiba

Eberhard

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2010
Posts
1,153
Reaction score
809
Nimeangalia rasimu ya pili ya katiba mpya sijaona popote pale walipozungumzia swala la umiliki wa ardhi. Binasfi ninalichukulia swala la umiliki wa ardhi kama ishu muhimu ambayo ilitakiwa kuwepo/kuwekwa wazi ndani ya katiba mpya.

Kwa katiba ya sasa ardhi ni mali ya serikali. Kauli hii imewafanya viongozi wajichukulie ardhi kama watakavyo na kutuacha sisi wengine mikono mitupu.

Viongozi wa serikali wamekuwa na maheka na maheka ya ardhi waliojimilikisha. Wananchi tuliosalia hata kama tuna ardhi basi ardhi hiyo iko rehani kutokana na ukilitimba na mlolongo mrefu wa kumilikisha ardhi hiyo. Siku yeyote ile unaweza kusikia ardhi ambayo umekuwa ukiitumia miaka na miaka ni mali ya kiongozi furani. Ukifatilia ni kweli kiongoizi huyo ana hati zote. wewe una barua ya mwenyekiti wa kijiji/kitongoji ambaye haina nguvu kiasi cha kukupatia haki yako pale unapodhurumiwa.

Natamani isiwe tena mali ya serikali. Natamani katiba mpya iseme kwamba ardhi ni mali ya wanachi.

Wewe unasemaje juu ya umiliki wa ardhi?
 
Tatizo si kuwa ni ya serikali au ni binafsi; tatizo ni utendaji wa serikali.

Kenya wao ni the opposite unaona hali ilivyo...

Kwa sheria ya sasa serikali ina uwezo wa kuwanyang'anya hao waliojilimbikizia ardhi muda wowote ikitaka...ila nani wa kufanya hivyo wakati wote ni washikaji....

Sheria haina tatizo; tatizo tunasubiri tupate mtendaji 'kichaa' atakaye watia adabu land grabbers...

Mimi ni mmoja wa wanao support ardhi kuwa mali ya umma...maana naona tuna uwezo wa kurekebisha huu unyang'anyi




Nimeangalia rasimu ya pili ya katiba mpya sijaona popote pale walipozungumzia swala la umiliki wa ardhi. Binasfi ninalichukulia swala la umiliki wa ardhi kama ishu muhimu ambayo ilitakiwa kuwepo/kuwekwa wazi ndani ya katiba mpya.

Kwa katiba ya sasa ardhi ni mali ya serikali. Kauli hii imewafanya viongozi wajichukulie ardhi kama watakavyo na kutuacha sisi wengine mikono mitupu.

Viongozi wa serikali wamekuwa na maheka na maheka ya ardhi waliojimilikisha. Wananchi tuliosalia hata kama tuna ardhi basi ardhi hiyo iko rehani kutokana na ukilitimba na mlolongo mrefu wa kumilikisha ardhi hiyo. Siku yeyote ile unaweza kusikia ardhi ambayo umekuwa ukiitumia miaka na miaka ni mali ya kiongozi furani. Ukifatilia ni kweli kiongoizi huyo ana hati zote. wewe una barua ya mwenyekiti wa kijiji/kitongoji ambaye haina nguvu kiasi cha kukupatia haki yako pale unapodhurumiwa.

Natamani isiwe tena mali ya serikali. Natamani katiba mpya iseme kwamba ardhi ni mali ya wanachi.

Wewe unasemaje juu ya umiliki wa ardhi?
 
Nimeangalia rasimu ya pili ya katiba mpya sijaona popote pale walipozungumzia swala la umiliki wa ardhi. Binasfi ninalichukulia swala la umiliki wa ardhi kama ishu muhimu ambayo ilitakiwa kuwepo/kuwekwa wazi ndani ya katiba mpya.

Kwa katiba ya sasa ardhi ni mali ya serikali. Kauli hii imewafanya viongozi wajichukulie ardhi kama watakavyo na kutuacha sisi wengine mikono mitupu.

Viongozi wa serikali wamekuwa na maheka na maheka ya ardhi waliojimilikisha. Wananchi tuliosalia hata kama tuna ardhi basi ardhi hiyo iko rehani kutokana na ukilitimba na mlolongo mrefu wa kumilikisha ardhi hiyo. Siku yeyote ile unaweza kusikia ardhi ambayo umekuwa ukiitumia miaka na miaka ni mali ya kiongozi furani. Ukifatilia ni kweli kiongoizi huyo ana hati zote. wewe una barua ya mwenyekiti wa kijiji/kitongoji ambaye haina nguvu kiasi cha kukupatia haki yako pale unapodhurumiwa.

Natamani isiwe tena mali ya serikali. Natamani katiba mpya iseme kwamba ardhi ni mali ya wanachi.

Wewe unasemaje juu ya umiliki wa ardhi?
Natamani ingekuwa mada yoyote inayohusu wizara fulani iingie automatic kwenye simu zao ili ziwakere hata kama hawataki kusoma.
MLOLONGO NI MREFU SANA SANA KUPATA ARDHI JAMANI.INAUDHI SANA,HATA KUBADILISHA TU HUPATI,UTAAMBIWA UTARATIBU FULABI,BT HUTAFANIKIWA KUPATA,KUNA URASIMU BALAA,SIJUI TUANDIKE TENA HII TOPIC.NI RAHISI KWA MGENI/MWEKEZAJI KUPATA FURSA/ZA BIASHARA KULIKO MTANZANIA KUPATA HATI YA UMILIKI ARDHI.
HII WIZARA INATENDA DHAMBI SANA SANA....KUPATA HATI/KUBADILISHA.
 
neno umiliki wa ardhi halipo kabisaaa kwenye rasimu ya pili katiba mpya.
 
Nimeangalia rasimu ya pili ya katiba mpya sijaona popote pale walipozungumzia swala la umiliki wa ardhi. Binasfi ninalichukulia swala la umiliki wa ardhi kama ishu muhimu ambayo ilitakiwa kuwepo/kuwekwa wazi ndani ya katiba mpya.

Kwa katiba ya sasa ardhi ni mali ya serikali. Kauli hii imewafanya viongozi wajichukulie ardhi kama watakavyo na kutuacha sisi wengine mikono mitupu.

Viongozi wa serikali wamekuwa na maheka na maheka ya ardhi waliojimilikisha. Wananchi tuliosalia hata kama tuna ardhi basi ardhi hiyo iko rehani kutokana na ukilitimba na mlolongo mrefu wa kumilikisha ardhi hiyo. Siku yeyote ile unaweza kusikia ardhi ambayo umekuwa ukiitumia miaka na miaka ni mali ya kiongozi furani. Ukifatilia ni kweli kiongoizi huyo ana hati zote. wewe una barua ya mwenyekiti wa kijiji/kitongoji ambaye haina nguvu kiasi cha kukupatia haki yako pale unapodhurumiwa.

Natamani isiwe tena mali ya serikali. Natamani katiba mpya iseme kwamba ardhi ni mali ya wanachi.

Wewe unasemaje juu ya umiliki wa ardhi?

Ilo swala la Tanganyika sio Muungano.
Katiba ya Tanganyika ndio itakayofafanua kuhusu umiliki wa ardhi.
Tusubiri katiba ya Tanganyika.
 
Hoja nzuri lakini ni kitu kitafafanuliwa vizuri kwenye katiba za washirika zile za Tanganyika na Zanzibar!
 
Ilo swala la Tanganyika sio Muungano.
Katiba ya Tanganyika ndio itakayofafanua kuhusu umiliki wa ardhi.
Tusubiri katiba ya Tanganyika.
nakumbuka warioba alisema hakutakuwa na haja tena ya kukusanya maoni kutafuta katiba ya tanganyika. Alisema maoni yaliyotumika kwenye katiba ya Muungano ndiyo yatakayotumika.

na kama swala la katiba za washiriki za muungano zitafafanua swala la ardhi basi wazinzibar waanze kuachia ardhi yetu maana siyo swala la Muungano.
 
nakumbuka warioba alisema hakutakuwa na haja tena ya kukusanya maoni kutafuta katiba ya tanganyika. Alisema maoni yaliyotumika kwenye katiba ya Muungano ndiyo yatakayotumika.

na kama swala la katiba za washiriki za muungano zitafafanua swala la ardhi basi wazinzibar waanze kuachia ardhi yetu maana siyo swala la Muungano.

Alisema hivyo kweli ila kuna mambo yasio ya Tanganyika yataondelewa na mengine yanayoihusu Tanganyika yataingizwa.
Ila naamini ilo swala linaloihusu Tanganyika zaidi na si la muungano.
Kama Zanziba swala la ardhi ni la wao wenyewe sio la muungano.
Kwa hiyo hata Tanganyika swala la umiliki wa ardhi litaingizwa tu>
 
Alisema hivyo kweli ila kuna mambo yasio ya Tanganyika yataondelewa na mengine yanayoihusu Tanganyika yataingizwa.
Ila naamini ilo swala linaloihusu Tanganyika zaidi na si la muungano.
Kama Zanziba swala la ardhi ni la wao wenyewe sio la muungano.
Kwa hiyo hata Tanganyika swala la umiliki wa ardhi litaingizwa tu>
kwa hiyo ardhi ya tanganyika ni ya muungano ila ya zanzbar siyo ya muungano?
 
kwa hiyo ardhi ya tanganyika ni ya muungano ila ya zanzbar siyo ya muungano?
Swala la ardhi ya Tanganyika linatolewa kwenye muungano linabaki kuwa la Tanganyika, ndio maana Warioba hakuliweka kwenye rasimu ya pili ya katiba ya muungano!
 
Nimeangalia rasimu ya pili ya katiba mpya sijaona popote pale walipozungumzia swala la umiliki wa ardhi. Binasfi ninalichukulia swala la umiliki wa ardhi kama ishu muhimu ambayo ilitakiwa kuwepo/kuwekwa wazi ndani ya katiba mpya.

Kwa katiba ya sasa ardhi ni mali ya serikali. Kauli hii imewafanya viongozi wajichukulie ardhi kama watakavyo na kutuacha sisi wengine mikono mitupu.

Viongozi wa serikali wamekuwa na maheka na maheka ya ardhi waliojimilikisha. Wananchi tuliosalia hata kama tuna ardhi basi ardhi hiyo iko rehani kutokana na ukilitimba na mlolongo mrefu wa kumilikisha ardhi hiyo. Siku yeyote ile unaweza kusikia ardhi ambayo umekuwa ukiitumia miaka na miaka ni mali ya kiongozi furani. Ukifatilia ni kweli kiongoizi huyo ana hati zote. wewe una barua ya mwenyekiti wa kijiji/kitongoji ambaye haina nguvu kiasi cha kukupatia haki yako pale unapodhurumiwa.

Natamani isiwe tena mali ya serikali. Natamani katiba mpya iseme kwamba ardhi ni mali ya wanachi.

Wewe unasemaje juu ya umiliki wa ardhi?[/QUOTE

Aridhi haikuwekwa kwasababu haimo katika muungano. Katiba inazungunzia mambo ya muungano tu.

Aridhi tuisubiri katika katiba ya Tanganyika
 
Nimeangalia rasimu ya pili ya katiba mpya sijaona popote pale walipozungumzia swala la umiliki wa ardhi. Binasfi ninalichukulia swala la umiliki wa ardhi kama ishu muhimu ambayo ilitakiwa kuwepo/kuwekwa wazi ndani ya katiba mpya.

Kwa katiba ya sasa ardhi ni mali ya serikali. Kauli hii imewafanya viongozi wajichukulie ardhi kama watakavyo na kutuacha sisi wengine mikono mitupu.

Viongozi wa serikali wamekuwa na maheka na maheka ya ardhi waliojimilikisha. Wananchi tuliosalia hata kama tuna ardhi basi ardhi hiyo iko rehani kutokana na ukilitimba na mlolongo mrefu wa kumilikisha ardhi hiyo. Siku yeyote ile unaweza kusikia ardhi ambayo umekuwa ukiitumia miaka na miaka ni mali ya kiongozi furani. Ukifatilia ni kweli kiongoizi huyo ana hati zote. wewe una barua ya mwenyekiti wa kijiji/kitongoji ambaye haina nguvu kiasi cha kukupatia haki yako pale unapodhurumiwa.

Natamani isiwe tena mali ya serikali. Natamani katiba mpya iseme kwamba ardhi ni mali ya wanachi.

Wewe unasemaje juu ya umiliki wa ardhi?[/QUOTE

Aridhi haikuwekwa kwasababu haimo katika muungano. Katiba inazungunzia mambo ya muungano tu.

Aridhi tuisubiri katika katiba ya Tanganyika
mbona wazanzibar wanamiliki ardhi kubwa tanganyika? Angalia maelfu ya heka ya mzee mwinyi pale wami dakawa.
 
Sisi katiba yetu ya Zanzibar mgeni hamiliki ardhi sijui mtatuiga name hii si kwa sababu ya uchoyo hapana hiki ni kisiwa halafu kidogo lazima kuwe na udhibiti kwa faida ya vizazi vijavyo
 
Sisi katiba yetu ya Zanzibar mgeni hamiliki ardhi sijui mtatuiga name hii si kwa sababu ya uchoyo hapana hiki ni kisiwa halafu kidogo lazima kuwe na udhibiti kwa faida ya vizazi vijavyo
Nani mgeni? Sisi wabara ndiyo wageni?
 
Nani mgeni? Sisi wabara ndiyo wageni?

Mkuu acha kuumiza kichwa katiba ya Tanganyika itakuja na suluhisho la suala la aridhi, naamini itatamka wazi kua aridhi ni mali ya watanganyika na mgeni haruhusiwi kumiliki aridhi. Kama katiba ya zanzibar inamtambua mzazibar tu na ya tanganyika inabidi iwe wazi bila utatanishi katika suala hili, hatutegemei mtu yeyote kulalamika kwa sababu wenye mamlaka ya kulalamika ni watanganyika tu!
 
Tusichanganye mambo jamani, Ktiba hii ni kwa ajili ya mambo 7 ya Muungano ambapo suala la ardhi halipo

  1. Katiba na Mamlaka ya Jamhuri ya Muungano
  2. Ulinzi na Usalama
  3. Uraia na Uhamiaji
  4. Mambo ya Nje
  5. Sarafu na Benki Kuu
  6. Vyama vya siasa
  7. Ushuru wa Bidhaa na mapato yasiyo ya kodi yatokanayo na mambo ya Muungano
 
hili nadhani tusikubaliane nalo
nakumbuka warioba alisema hakutakuwa na haja tena ya kukusanya maoni kutafuta katiba ya tanganyika. Alisema maoni yaliyotumika kwenye katiba ya Muungano ndiyo yatakayotumika.

na kama swala la katiba za washiriki za muungano zitafafanua swala la ardhi basi wazinzibar waanze kuachia ardhi yetu maana siyo swala la Muungano.
 
je ni kweli katiba haisemi chochote juu ya umiliki wa ardhi?
naomba wataalam waje watujuze.
serekali ina mpango wa uwekezaji mkubwa wa kilimo ambao umewaalika wawekezaji kutoka nje , jambo hili ni hatari mno kwa maisha ya watanzania . ningpenda katiba iseme kua ardhi haitamilikishwa kwa mgeni.
 
Swala la ardhi ya Tanganyika linatolewa kwenye muungano linabaki kuwa la Tanganyika, ndio maana Warioba hakuliweka kwenye rasimu ya pili ya katiba ya muungano!

Mcheshi usichekeshe hili swala limefanywa kiufundi kabisa kwani hapa ndipo Tanganyika itakapoliwa. Ukweli Rasimu inasema wazi ktk ibara ya (7) ibara ndogo ya (2) kifungu (d ) kuwa:
(2) Kwa madhumuni ya masharti ya Ibara ndogo (1), mamlaka ya nchi na vyombo vyake vinawajibika kuelekeza sera na shughuli zake zote kwa lengo la kuhakikisha kwamba:

(d) “ardhi ikiwa rasilimali kuu na msingi wa Taifa, inalindwa,
inatunzwa na kutumiwa na wananchi wa Tanzania kwa
manufaa, maslahi na ustawi wa kizazi cha sasa na vizazi
vijavyo.”

Hapa ndipo wenzetu wa upande wa pili walipo-shinda kwani walikuja na mkakati wa kuhakikisha kuwa wanaendelea kunufaika na matunda ya muungano ambapo kwao hii ndiyo faida pekee. Hivyo katiba inasema wazi kuwa Ardhi ya muungano ni ya wananchi wa Tanzania na wala siyo Tanganyika. Wenzetu walijipanga vizuri na hivyo wanapata kila walichokitaka kwamba ardhi ya Zanzibar ni yao kwa mujibu wa katiba na sheria zao lakini ya Muungano wao wana nafasi pia. Wao walikuwa na vikao ( vikao vilihusisha CCM na CUF) vyao vya kushinikiza hili huku silaha yao kuu ikiwa ni kushinikiza kuvunja muungano ambapo wale wa Tanganyika walikuwa wana-ajenda ya kuhakikisha muungano unabaki hata kama hauna faida kwa watanganyika, na wale wachache walioliona hili walipuuzwa. Kumbuka pia wa Tanganyika hawakuwa na vikao.

Warioba alisema katiba ya muungano ndiyo sheria mama hivyo uwezi kuweka kitu kinachokiuka katiba hiyo na ukikiweka kinakuwa batili. Pia alisema kuwa ilikuwa vigumu kushauri serikali mbili kwani ingepinga na katiba ya Zanzibar ya mwaka 2010. Na ndiyo sababu anapinga kutokukusanya maoni ya Watanganyika katika kupata katiba ya Tanganyika kwani wakikaa peke yao hili litajadiliwa na kuchukuliwa maamuzi magumu.

Ikumbukwe ujanja kama huu ulitaka kutumiwa ktk katiba ya jumuiya ya Afrika Mashariki mzee Sita akashtuka mapema na kukataa hili na pamoja na ulinzi ambapo walisema kuwa nchi moja ikivamiwa / ikivamia basi nchi nyingine zinaingia moja kwa moja kupigana upande wa mshirika wa EAC.

Pia waweza kusoma ibara ya (11), ibara ndogo ya ( 3 c) kifungu cha (v) inaongelea ardhi pia
 
Natamani ingekuwa mada yoyote inayohusu wizara fulani iingie automatic kwenye simu zao ili ziwakere hata kama hawataki kusoma.
MLOLONGO NI MREFU SANA SANA KUPATA ARDHI JAMANI.INAUDHI SANA,HATA KUBADILISHA TU HUPATI,UTAAMBIWA UTARATIBU FULABI,BT HUTAFANIKIWA KUPATA,KUNA URASIMU BALAA,SIJUI TUANDIKE TENA HII TOPIC.NI RAHISI KWA MGENI/MWEKEZAJI KUPATA FURSA/ZA BIASHARA KULIKO MTANZANIA KUPATA HATI YA UMILIKI ARDHI.
HII WIZARA INATENDA DHAMBI SANA SANA....KUPATA HATI/KUBADILISHA.

Kama kunajambo gumu nalisiloeleweka Tanzania Ardhi, hii wizara ilitakiwa iwe chini ya ofisi ya rais mwenyewe, kumiliki. Ardhi kupata hati kwa rai wakawaida ni jambo gumu mno , utaratibu unatumika unamapungufu Sana, unaruhusu watu wachache kujilimbikizia Ardhi, kwa mfano beach karibu zote za wahindi, ukitaka kununua wanauza mamilioni ya fed a, pia hawaziendelezi nijambo la ajabu Sana, wageni wanajilika kupitia Ardhi yetu natuliwapa dhamana yakuilinda utadhani hawapo, chonde chonde hii maada tuanze upya
 
Back
Top Bottom