Jstar1
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 1,391
- 1,347
Naombeni kuuliza kuhusu umiliki wa mali kwa wanandoa endapo watatengana, mfano,
Mke kama amekuta mmewe tiari kuna mali anamiliki mfano, nyumba je ikitokea mmetengana na hamkua na watoto mke atapata asilimia ngapi ya nyumba au mali na je kipi kitaprove kua hii mali kaikuta au wataoanisha cheti cha ndoa na hati ya nyumba imetoka lini?
Na je kama mmepambana wote kujenga, ikitokea mmetengana atapata asilimia ngapi na kitaprove kua mmjenga wote na je ukisema kaikuta na kama mna watoto inakuaje?
Najua humu kuna wajuvi wengi wa mambo hili ni dogo kwenu naomba mtririke
Mke kama amekuta mmewe tiari kuna mali anamiliki mfano, nyumba je ikitokea mmetengana na hamkua na watoto mke atapata asilimia ngapi ya nyumba au mali na je kipi kitaprove kua hii mali kaikuta au wataoanisha cheti cha ndoa na hati ya nyumba imetoka lini?
Na je kama mmepambana wote kujenga, ikitokea mmetengana atapata asilimia ngapi na kitaprove kua mmjenga wote na je ukisema kaikuta na kama mna watoto inakuaje?
Najua humu kuna wajuvi wengi wa mambo hili ni dogo kwenu naomba mtririke