Umiliki wa shamba kando ya ziwa

Wapi Bukumbi kule kigongo ferry au?maana kuna sehemu na sehemu au ni mji gani,lakini nijuacho hakuna umbali unaopaswa kuendesha shughuli zako za kiutafutaji kando ya ziwa japo ukiingia zaidi ziwani au ukifanya jambo litakaloharibu mazingira na kusababisha viumbe wa majini kua ktk msuko suko utapaswa kua na kibali maalum na kama sivyo utachukuliwa hatua.kama ni unalima tu mboga mboga na mazao mengine kwa maana ya umwagiliaji haizuiliki..zaidi ya yote nenda ofisi ya wizara ya mambo hayo ukaulize,nafikili waweza kwenda hata pale fisheries Nyegezi malimbe iwapo upo Mwanza watakupa mwanga wa unachohitaji.hongera kwa bidii ya kusaka noti

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
 

Maeneo gani mkuu? Vipi mashamba bado yanapatikana huko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…