UMISETA: Kanda ya Zanzibar wako vizuri

Kachumbi

Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
70
Reaction score
30
Nipo Mwanza nafuatia baadhi ya michezo kuona kuona vipaji vya vijana wetu, takribani ya asilimia 70 ya michezo ya Moira niliona, nimeshangazwa na kanda ya Zanzibar kucheza Mpira mzuri kwa upande wa mpira wa miguu wavulana, na kwa taarfa ndo mabingwa UMISETA Mpira wa miguu.

Urojorojo wao ambao huwa naskia sijaona.
 
Hongera kwanza kwa kufaidi sangara na sato hapo jijini,pia ku enjoy hali ya hewa murua toka ziwa victoroa
 
We ulienda kuangalia urojo???? au na vinginevyo jomba??
 
Zamani walikuwa wanasema sie twafungwa,lakini chenga twawala,Zenji siku hizi kuna vipaji sana...
 
Hiyo michezo imetengeneza mahusiano mengi kwa vijana kwa kweli hunikumbusha mbali na vipaji khaswa vinapatikana.
 
kuna michezo ya umiseta kwa shule za sekondari inayoendelea katika jiji la Mwanza,cha shugaza vyombo vya habari kwa upande Wa michezo havizungumzii mashndano hayo,ukiangalia vipaji vingi vinatokea huku,pia profile la mshiriki linaimarika kupitia huku,kaz kuzungumzia taifa starz tu ,kumbe kote siasa tupu.
 
ndo hvy bro unadhan watatangaza wakati wakina lowassa wanataka kuonekana kwenye kideo?
 
nusu fainaly Zanzibar n DSM,DK ya 55 bila bila
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…