tatamajuva
Member
- Sep 11, 2019
- 74
- 84
Michezoi ya Umitashumta na umiseta imekuwa ikiendelea kipindi hiki kuanzia ngazi za shule,kata,wilaya na mkoa ili kuendelea taifa.
Serikali Haina budi kusitisha michezo hii ili.
Kusubiri wimbi hili la ugonjwa wa Covid-19 lipungue au kwisha kabisa kwani washiriki wa michezo hii ni chini ya miaka 16 /18 na umri ambao hawawezi kuchukua tahadhari kwa ugonjwa huu.
Hivyo tunahitaji kulinda afya za watoto hawa kwanza kabla ya kuanza mashindano hayo.
Hilo siyo suala la kupuuza kwani tunaona Hali ilivyo katika maeneo mbalimbali duniani mano India.
Aidha kamati iliyoundwa na mh.Rais kuchunguza na kufanya utafiti wa uwepo Covid-19 na wingi wake bado haijakamilika.
Hivyo michezo kwa watoto wadogo isubiri Kwanza.
Serikali Haina budi kusitisha michezo hii ili.
Kusubiri wimbi hili la ugonjwa wa Covid-19 lipungue au kwisha kabisa kwani washiriki wa michezo hii ni chini ya miaka 16 /18 na umri ambao hawawezi kuchukua tahadhari kwa ugonjwa huu.
Hivyo tunahitaji kulinda afya za watoto hawa kwanza kabla ya kuanza mashindano hayo.
Hilo siyo suala la kupuuza kwani tunaona Hali ilivyo katika maeneo mbalimbali duniani mano India.
Aidha kamati iliyoundwa na mh.Rais kuchunguza na kufanya utafiti wa uwepo Covid-19 na wingi wake bado haijakamilika.
Hivyo michezo kwa watoto wadogo isubiri Kwanza.