LGE2024 Ummy: Mchagueni Mgombea mnayejua kwao, mkiona anajichokifanya hakiendani na matakwa yenu mnaweza kwenda kwa baba yake kumwambia huyu haendi vizuri

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
2025 inakuja kuna mtu ambaye mpaka leo baba yake hatumjui. Ajitokeze atwambie kama ambavyo "kwa kudra za Mwenyezi Mungu" alituambia huyu mdogo wake ana wajomba Oman, chifu wa sasa mwenyewe atueleze baba yake yuko wapi na kama alizikwa ni wapi na ukoo upi.

Inawezekana tunateseka bure kumbe mtu hata sio wetu ndio maana mara wajomba wanapewa mwendokasi waendeshe, mara wanapewa bandari na hamna tenda wala uwazi. Wanalala tu wanaamua wahamishe wilaya na kabila zima makazi.

Tumjue Chifu Burito tushindwe kumjua mtoa suluhisho. Maybe they are impostors masquerading as Tanzanians, who knows?
 
Taratibu bwashee
 
Ummy mwalimu ulibebwa na utawala dhalimu wa magufuli hata kuiba kura 2020. Huwezi kushinda tena kuwa mbunge wa Tanga.
Nilikuwepo siku ya uchaguzi Tanga najua wale walimu na watumishi walichokuwa wanafanya kwenye masanduku ya kura wanakijua nawe unajua
Huwezi kushinda odo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ