Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
"Ninawashukuru watumishi wa sekta ya Afya na Maendeleo ya jamii wa ngazi zote kwa ushirikiano mzuri walionipatia katika kutekeleza majukumu Nawashukuru kwa imani na upendo wao mkubwa kwangu.Siku zote wamekuwa wakiniamini na kuniheshimu licha ya kuwa sio mwanataaluma wa Afya."
"Kwa unyenyekevu mkubwa, ninamshukuru sana Mhe Rais Dkt Magufuli kwa kuniamini kuwa msaidizi wake wa kusimamia sekta ya Afya na Maendeleo ya Jamii katika kipindi hiki. Asante sana Rais Magufuli. Hakika ulikuwa wakati mzuri kwangu. Nimejifunza mengi kutoka kwako"
"Naamini wengi mtakubaliana nami kuwa sekta ya Afya ni moja ya sekta ambazo zimepata mafanikio makubwa katika Utawala wa Awamu ya 5,hii yote ni kutokana na utashi na dhamira ya dhati ya Rais Magufuli ya kutaka kuboresha maisha ya watanzania hususani wa kipato cha chini"
"Katika utekelezaji wa majukumu yangu pia nimepata ushirikiano mzuri kutoka kwa wadau mbalimbali ikiwemo sekta binafsi, mashirika ya kiraia na Wadau wa maendeleo wa ndani na nje ya nchi. Ninawashukuru sana kwa kuchangia mafanikio makubwa tuliyopata katika sekta hii"
"Ninawasihi sana tena sana tuendelee kuwekeza kwenye afya zetu. Ili kulinda na kuimarisha Afya zetu Tuzingatie ulaji wa vyakula unaofaa, kupunguza unywaji wa pombe kupita kiasi, kufanya mazoezi mara kwa mara AfyaNiMtaji"
"Kwa unyenyekevu mkubwa, ninamshukuru sana Mhe Rais Dkt Magufuli kwa kuniamini kuwa msaidizi wake wa kusimamia sekta ya Afya na Maendeleo ya Jamii katika kipindi hiki. Asante sana Rais Magufuli. Hakika ulikuwa wakati mzuri kwangu. Nimejifunza mengi kutoka kwako"
"Naamini wengi mtakubaliana nami kuwa sekta ya Afya ni moja ya sekta ambazo zimepata mafanikio makubwa katika Utawala wa Awamu ya 5,hii yote ni kutokana na utashi na dhamira ya dhati ya Rais Magufuli ya kutaka kuboresha maisha ya watanzania hususani wa kipato cha chini"
"Katika utekelezaji wa majukumu yangu pia nimepata ushirikiano mzuri kutoka kwa wadau mbalimbali ikiwemo sekta binafsi, mashirika ya kiraia na Wadau wa maendeleo wa ndani na nje ya nchi. Ninawashukuru sana kwa kuchangia mafanikio makubwa tuliyopata katika sekta hii"
"Ninawasihi sana tena sana tuendelee kuwekeza kwenye afya zetu. Ili kulinda na kuimarisha Afya zetu Tuzingatie ulaji wa vyakula unaofaa, kupunguza unywaji wa pombe kupita kiasi, kufanya mazoezi mara kwa mara AfyaNiMtaji"