Uchaguzi 2020 Ummy Mwalimu ashinda Ubunge jimbo la Tanga Mjini

Uchaguzi 2020 Ummy Mwalimu ashinda Ubunge jimbo la Tanga Mjini

Gai da seboga

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
515
Reaction score
1,015
Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Tanga Mjini amemtangaza Mgombea Ubunge wa CCM kwenye Jimbo hilo Ummy Mwalimu kuwa Mshindi kwa kupata kura 114,445 sawa na 93.8% akifuatiwa na Mgombea wa CUF Mussa Mbarouk mwenye kura 7497 sawa na 6%.
-----------------
Piga kelele kwa Odo akeee [emoji108][emoji108]#OdoUmmyAtosha #OdoWaUkweli #ChaguolaWanaTanga
IMG_c68nuo.jpg
 
Cha ajabu sasa kushinda kwa CCM sio kitu cha kushtua au kufurahisha tena. Tutaona na kusikia mengi, je wapinzani wataisomaje hali hii na wananchi wataionaje.
 
Hongera yake mama mpambanaji,

Mwana FA nae huko vipi?
Babu Tale je?
 
Cha ajabu sasa kushinda kwa CCM sio kitu cha kushtua au kufurahisha tena. Tutaona na kusikia mengi, je wapinzani wataisomaje hali hii na wananchi wataionaje.
Wew umejitoa kwenye upinzani na Jana nchi wewe ni nan? Alien😂
 
Mwanamke mzuri wa muonekano na akilini, wanyooshe mamaa.

Wale waliokuwa wanaziba pua na mdomo watajua hawajui
 
Ummy Mwalimu mwaaa,,,,I love u so much bin dada.
nishakupigia nyeto zaidi ya mara elfustini,,mwaaaaa,,,mwaaa,mwaaaa,I kiss U,,mwaaa.
 
Cha ajabu sasa kushinda kwa CCM sio kitu cha kushtua au kufurahisha tena. Tutaona na kusikia mengi, je wapinzani wataisomaje hali hii na wananchi wataionaje.
Walioshinda hawana furaha wala walioshindwa hawana furaha.
 
Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Tanga Mjini amemtangaza Mgombea Ubunge wa CCM kwenye Jimbo hilo Ummy Mwalimu kuwa Mshindi kwa kupata kura 114,445 sawa na 93.8% akifuatiwa na Mgombea wa CUF Mussa Mbarouk mwenye kura 7497 sawa na 6%.
-----------------
Piga kelele kwa Odo akeee [emoji108][emoji108]#OdoUmmyAtosha #OdoWaUkweli #ChaguolaWanaTanga View attachment 1615515
a.k.a kiboko ya Covid -19....hahahaha...
Nchi hii
 
Back
Top Bottom