Gai da seboga
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 515
- 1,015
Kwani wewe ni chakula cha nani??Hivi huyu dada kaolewa au chakula cha wanachama
SawaHuyu atashinda kwa kila njia, natumai jicho la ikulu litakuwa Tanga Mjini kuanzia mwanzo wa kampeni mpaka siku ya kutangaza mshindi.
Wale wa Tanga ni sawa, watu wenyewe ni ewala.Upinzani ulichukua hilo jimbo kwa nguvu za lowassa lakini leo wapinzani hao hao wanamtukana lowassa.
Ngoja tuone kama wataweza kulitetea hilo jimbo.
Ninachoamini. Upinzani kwa mkoa wa Tanga, hawatapata kata na jimbo hata moja. Sio lissu, sio cdm wala sio act.
cha mama yakoKwani wewe ni chakula cha nani??
Jarbu kuwa na heshima kidogoHivi huyu dada kaolewa au chakula cha wanachama
2020 TANGA Ya KijaniUpinzani ulichukua hilo jimbo kwa nguvu za lowassa lakini leo wapinzani hao hao wanamtukana lowassa.
Ngoja tuone kama wataweza kulitetea hilo jimbo.
Ninachoamini. Upinzani kwa mkoa wa Tanga, hawatapata kata na jimbo hata moja. Sio lissu, sio cdm wala sio act.