TozzyMay
JF-Expert Member
- Dec 30, 2023
- 482
- 1,787
Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu \ Kidole kimoja hakivunji chawa
JAMHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA (THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA)
Huwa Najiuliza je, Muungano wetu TANZANIA ni kweli umekamilika? Kuna Haja gani kubwa ya kuwa na Serikali mbili? Kwanini tusiwe na serikali moja?
Serikali ya wananchi wa JAMHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA. Bajeti ingekuwa ni Moja. Mbona Jeshi letu Moja?
JAMHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA (THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA)
Huwa Najiuliza je, Muungano wetu TANZANIA ni kweli umekamilika? Kuna Haja gani kubwa ya kuwa na Serikali mbili? Kwanini tusiwe na serikali moja?
Serikali ya wananchi wa JAMHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA. Bajeti ingekuwa ni Moja. Mbona Jeshi letu Moja?