Umoja wa ma boyfriend wasumbufu Tanzania

mfwimijr

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2014
Posts
203
Reaction score
152
Umoja Wa ma Boyfriend wasumbufu Tanzania(UBOTA)...
Tunependa kuwatangazia wana chama wetu kua bado kauli mbiu yetu ni ile ile "ntakuoa mwakani" usijaribu wala kushawishika kuingia kwenye ndoa maana walio ndani ya ndoa wanataka kutoka....
 
ha ha ha ha
aiseeee hii UBOTA gharama ya uanachama ni kiasi gani aiseee??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…