Uko wapi?
Unachohitaji ni muhtasari wa kikao cha kukubaliana kuanzisha umoja na kuipitisha katiba.
Kuna options mbili: 1. kusajiri wilayani 2. kusajiri wizarani. Kama uko Dar es salaam nakushauri usajiri wizarani kwa sababu later unaweza kutanua shughuli kitaifa.
1. Wilayani - nendo ofisi ya mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya kwa maelezo zaidi.
2. Wizarani - nendo wizara ya maendeleo ya jamii, jinsia na watoto kitengo cha NGOs kwa taratibu.
Ipo pia option ya kusajiri wizara ya mambo ya ndani au BRELA, lakini kwa jinsi ulivyotarget kata options hizi zitakusumbua tu.