Umoja wa makabila vyuoni

Umoja wa makabila vyuoni

mabutu1835

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2018
Posts
909
Reaction score
1,425
Ni miaka zaidi ya 60 tangu tupate uhuru na hata kufikia muungano na kutengeneza taifa linaitwa Tanzania. Punde baada ya uhuru Mwl. J.K.Nyerere alitangaza maadui wa maendeleo; Ujinga, Umaskini na Maradhi. Mikakati mbalimbali ilibuniwa na kutekelezwa kupambana na maadui hao hadi leo.

Ila inasikitisha na kuhuzunisha uanzishwaji na uendeshaji wa umoja wa makabila unaofanya na wanafunzi wa elimu ya juu katika vyuo mbalimbali, mf; Umoja wa wakinga, Umoja wa Warangi,Umoja wa wahaya, Umoja wa wachaga, nk

Ni ushamba na ufinyu wa fikra unaodhihirishwa na wasomi wetu.Ningetegemea waanzishe umoja na makundi mengine ya wataalamu ili kukuza taaluma au ujuzi katika viwango vya juu kwa manufaa ya Taifa.

Muendelezo wa ukabila kwa namna yoyote katika vyuo vya elimu ya juu ni ufinyu wa fikra na uthibitisho wa umaskini wa fikra wa wasomi wetu.

Badilikeni vijana na wasomi wetu, tupinge ukabila na hata udini kwani ni adui wa maendeleo katika taifa lolote.
 
Ni miaka zaidi ya 60 tangu tupate uhuru na hata kufikia muungano na kutengeneza taifa linaitwa Tanzania. Punde baada ya uhuru Mwl. J.K.Nyerere alitangaza maadui wa maendeleo; Ujing,Umaskini na Maradhi. Mikakati mbalimbali ilibuniwa na kutekelezwa kupambana na maadui hao hadi leo.
Ila inasikitisha na kuhuzunisha uanzishwaji na uendeshaji wa umoja wa makabila unaofanya na wanafunzi wa elimu ya juu katika vyuo mbalimbali, mf;Umoja wa wakinga, Umoja wa Warangi,Umoja wa wahaya, Umoja wa wachaga, nk
Ni ushamba na ufinyu wa fikra unaodhihirishwa na wasomi wetu.Ningetegemea waanzishe umoja na makundi mengine ya wataalamu ili kukuza taaluma au ujuzi katika viwango vya juu kwa manufaa ya Taifa. Muendelezo wa ukabila kwa namna yoyote katika vyuo vya elimu ya juu ni ufinyu wa fikra na uthibitisho wa umaskini wa fikra wa wasomi wetu. Badilikeni vijana na wasomi wetu, tupinge ukabila na hata udini kwani ni adui wa maendeleo katika taifa lolote.
Wewe ni mshamba na utakuwa umekataliwa kwenye kikundi Cha kabila lenu.
Hivi vikundi ni vizuri vipo Kwa ajili ya kushauriana,kusaidiana kwenye shida na raha na kukumbushana kuhusu Mila na desturi za makabila Yao.Na hii,haizuii mtu kujiunga na vikundi vingine
 
Ni miaka zaidi ya 60 tangu tupate uhuru na hata kufikia muungano na kutengeneza taifa linaitwa Tanzania. Punde baada ya uhuru Mwl. J.K.Nyerere alitangaza maadui wa maendeleo; Ujing,Umaskini na Maradhi. Mikakati mbalimbali ilibuniwa na kutekelezwa kupambana na maadui hao hadi leo.
Ila inasikitisha na kuhuzunisha uanzishwaji na uendeshaji wa umoja wa makabila unaofanya na wanafunzi wa elimu ya juu katika vyuo mbalimbali, mf;Umoja wa wakinga, Umoja wa Warangi,Umoja wa wahaya, Umoja wa wachaga, nk
Ni ushamba na ufinyu wa fikra unaodhihirishwa na wasomi wetu.Ningetegemea waanzishe umoja na makundi mengine ya wataalamu ili kukuza taaluma au ujuzi katika viwango vya juu kwa manufaa ya Taifa. Muendelezo wa ukabila kwa namna yoyote katika vyuo vya elimu ya juu ni ufinyu wa fikra na uthibitisho wa umaskini wa fikra wa wasomi wetu. Badilikeni vijana na wasomi wetu, tupinge ukabila na hata udini kwani ni adui wa maendeleo katika taifa lolote.
Na UKWATA, CCT n.k tuuite udini vyuoni?
 
Ni miaka zaidi ya 60 tangu tupate uhuru na hata kufikia muungano na kutengeneza taifa linaitwa Tanzania. Punde baada ya uhuru Mwl. J.K.Nyerere alitangaza maadui wa maendeleo; Ujing,Umaskini na Maradhi. Mikakati mbalimbali ilibuniwa na kutekelezwa kupambana na maadui hao hadi leo.
Ila inasikitisha na kuhuzunisha uanzishwaji na uendeshaji wa umoja wa makabila unaofanya na wanafunzi wa elimu ya juu katika vyuo mbalimbali, mf;Umoja wa wakinga, Umoja wa Warangi,Umoja wa wahaya, Umoja wa wachaga, nk
Ni ushamba na ufinyu wa fikra unaodhihirishwa na wasomi wetu.Ningetegemea waanzishe umoja na makundi mengine ya wataalamu ili kukuza taaluma au ujuzi katika viwango vya juu kwa manufaa ya Taifa. Muendelezo wa ukabila kwa namna yoyote katika vyuo vya elimu ya juu ni ufinyu wa fikra na uthibitisho wa umaskini wa fikra wa wasomi wetu. Badilikeni vijana na wasomi wetu, tupinge ukabila na hata udini kwani ni adui wa maendeleo katika taifa lolote.
Wewe ndiyo mshamba sasa kama hujui.
 
Nafikiri si kitu kibaya kwa ajili ya kustrengthen identity ya makabila na kusaidiana.

Tatizo linaweza kuja pale ambapo maamuzi ya msingi kama kuchagua viongozi wa serikali ya wanafunzi yanafanywa kwa misingi ya kikabila na makabila makubwa yenye watu wengi yanachukua nafasi bila kujali uwezo wa mtu husika.
 
"wanataka wakatambike?" In Mwl Nyerere voice.
Ila havijakaa vzr nadhani,maana hao hao wakiingia makazini pia wataitana kwa ukabila kwenye ajira.
 
Ni miaka zaidi ya 60 tangu tupate uhuru na hata kufikia muungano na kutengeneza taifa linaitwa Tanzania. Punde baada ya uhuru Mwl. J.K.Nyerere alitangaza maadui wa maendeleo; Ujing,Umaskini na Maradhi. Mikakati mbalimbali ilibuniwa na kutekelezwa kupambana na maadui hao hadi leo.
Ila inasikitisha na kuhuzunisha uanzishwaji na uendeshaji wa umoja wa makabila unaofanya na wanafunzi wa elimu ya juu katika vyuo mbalimbali, mf;Umoja wa wakinga, Umoja wa Warangi,Umoja wa wahaya, Umoja wa wachaga, nk
Ni ushamba na ufinyu wa fikra unaodhihirishwa na wasomi wetu.Ningetegemea waanzishe umoja na makundi mengine ya wataalamu ili kukuza taaluma au ujuzi katika viwango vya juu kwa manufaa ya Taifa. Muendelezo wa ukabila kwa namna yoyote katika vyuo vya elimu ya juu ni ufinyu wa fikra na uthibitisho wa umaskini wa fikra wa wasomi wetu. Badilikeni vijana na wasomi wetu, tupinge ukabila na hata udini kwani ni adui wa maendeleo katika taifa lolote.
huo ni umoja wa kurahisiha ngono kupitia makabila
 
Nami naunga Mkono.... Vikundi vya Kidini na Kikabila katika Jamii zetu si afya sana kwa Jamii inayohubiri Umoja na Mshimano. Zaidi zaidi tunakoenda ni kutengeneza Matabaka na kuanza Kupeana Michongo kutokana na Ukabila
 
"wanataka wakatambike?" In Mwl Nyerere voice.
Ila havijakaa vzr nadhani,maana hao hao wakiingia makazini pia wataitana kwa ukabila kwenye ajira.
Wewe ni miongoni mwa watanzania wachache wenye fikra pevu.
 
Wewe ni mshamba na utakuwa umekataliwa kwenye kikundi Cha kabila lenu.
Hivi vikundi ni vizuri vipo Kwa ajili ya kushauriana,kusaidiana kwenye shida na raha na kukumbushana kuhusu Mila na desturi za makabila Yao.Na hii,haizuii mtu kujiunga na vikundi vingine
Ni vikindi huru kweli lakini athari zake katika jamii ya watu wanaojiita wasomi ni ushamba tu.
 
Wewe ndo mshamba, nani kabaguliwa kupitia izo dini au kabila??

siku zote mshamba akijidai kuwa mjanja ndo anazidi kuharibu, wacha ushamba.
Ungekuwa mjanja ungebadili fikra zako katika karne hii ya sayansi na teknolojia.Dini na ukabila ni upuuzi tu
 
Back
Top Bottom