Umoja wa walimu wasio na ajira NETO unaweza kuleta mbadiliko ya kweli Tanzania, tunabidi kuwaunga mkono

Umoja wa walimu wasio na ajira NETO unaweza kuleta mbadiliko ya kweli Tanzania, tunabidi kuwaunga mkono

Multaza Hr

Member
Joined
Jan 10, 2025
Posts
83
Reaction score
182
Nimefatilia hawa jamaa wanajiita NETO nimejifunza mambo yafuatayo.

These guys are very smart and visionary.

Kuna hoja tatu nimeziona.

- Kuondoa swala la walimu kujitolea.

- Suala la kuhakikisha Serikali inazingatia vipimo sahihi Vya usaili.

- Kusitisha utolewaji wa course ya Education vyuoni

Niseme nawaunga mkono na wanafaa kuungwa mkono hii movement yao inabidi kuboreshwa na kuhakikisha hiki chama badala ya kuwa NETO -umoja wa walimu wasio na ajira kiwe umoja wa wasomi wasomi wasio na ajira Tanzania.

Ndo maana huwa nasema Vyama Kama Chadema , ,Act n.k ni vyama Vya watu wajinga Sana .

Hii movement ilikuwa ndo njia ya kuiondoa CCM madarakani endapo ingekuwa supported na wanasiasa Makini.

Hongereni Sana NETO nawaona mbali Kama mtaendelea na huu msimamo wenu pasipokushawishika na rushwa au hongo kutoka Kwa wanasiasa.
 
Nimewadharau madai Yao ya kuondoa kozi ya ualimu.Hawa ni vichaa kama vichaa wengine.pamoja na kuwa serikali ya Samia Ina mapungufu lukuki lakini duniani kote serikali haiwezi kuwaajiri watu wote.
 
Nimewadharau madai Yao ya kuondoa kozi ya ualimu.Hawa ni vichaa kama vichaa wengine.pamoja na kuwa serikali ya Samia Ina mapungufu lukuki lakini duniani kote serikali haiwezi kuwaajiri watu wote.
Subirini muda utaongea
 
Nimefatilia hawa jamaa wanajiita NETO nimejifunza mambo yafuatayo.

These guys are very smart and visionary.

Kuna hoja tatu nimeziona.

-Kuondoa swala la walimu kujitolea.

-swala la kuhakikisha Serikali inazingatia vipimo sahihi Vya usaili.

-Kusitisha utolewaji wa course ya Education vyuoni .



Niseme nawaunga mkono na wanafaa kuungwa mkono hii movement yao inabidi kuboreshwa na kuhakikisha hiki chama badala ya kuwa NETO -umoja wa walimu wasio na ajira kiwe umoja wa wasomi wasomi wasio na ajira Tanzania.


Ndo maana huwa nasema Vyama Kama Chadema , ,Act n.k ni vyama Vya watu wajinga Sana .


Hii movement ilikuwa ndo njia ya kuiondoa Ccm madarakani endapo ingekuwa supported na wanasiasa Makini.

Hongereni Sana NETO nawaona mbali Kama mtaendelea na huu msimamo wenu pasipokushawishika na rushwa au hongo kutoka Kwa wanasiasa.
Acheni watia kiburi , mtawaaribia sasa , walim sio wa kihurumiwa ,wenda wamechangia pakubwa kutufikisha tulipo, leo utawaunga mkono ila kesho wakipata ajira wanaenda shiriki ulanguzi wa kura za wananchi , acha waisome no
 
Vipimo sahihi vya “interview” vikoje? Embu tuambie njia sahihi
 
Acheni watia kiburi , mtawaaribia sasa , walim sio wa kihurumiwa ,wenda wamechangia pakubwa kutufikisha tulipo, leo utawaunga mkono ila kesho wakipata ajira wanaenda shiriki ulanguzi wa kura za wananchi , acha waisome no

Mwalimu anaibaje kura ninavyojua katika uchaguzi walimu huwa wanakuwa Kama makarani tu.

Na Kazi kubwa ya karani sio kulinda kura zisihibiwe .

Swala la wizi wa kura halipo chin ya walimu ni Sisiemu wenyewe na watu wake .
 
Jina lenyewe NETO kirefu chake kina grammatical error alafu wanataka waajiriwe wakaharibu watoto
 
Nimefatilia hawa jamaa wanajiita NETO nimejifunza mambo yafuatayo.

These guys are very smart and visionary.

Kuna hoja tatu nimeziona.

-Kuondoa swala la walimu kujitolea.

-swala la kuhakikisha Serikali inazingatia vipimo sahihi Vya usaili.

-Kusitisha utolewaji wa course ya Education vyuoni .



Niseme nawaunga mkono na wanafaa kuungwa mkono hii movement yao inabidi kuboreshwa na kuhakikisha hiki chama badala ya kuwa NETO -umoja wa walimu wasio na ajira kiwe umoja wa wasomi wasomi wasio na ajira Tanzania.


Ndo maana huwa nasema Vyama Kama Chadema , ,Act n.k ni vyama Vya watu wajinga Sana .


Hii movement ilikuwa ndo njia ya kuiondoa Ccm madarakani endapo ingekuwa supported na wanasiasa Makini.

Hongereni Sana NETO nawaona mbali Kama mtaendelea na huu msimamo wenu pasipokushawishika na rushwa au hongo kutoka Kwa wanasiasa.
Baadaye watageuka kuwa kama chama cha walimu. Ngoja ulaji uanze kuingia uone.
 
Hapa kijana wangu aliyesomea ualimu kakosa ajira, sasa ameamua kuwa dalali
 
Dunia hizi movement za aina hii,ziliondoa serikali nyingi madarakani.
Waungwe mkono Kwa Kila Hali.
TLS saidie hao vijana kwenye mahakama,wakishitakiwa
 
Back
Top Bottom