Umoja wa waliooa Machame & Mbeya (UMAMBE)

Umoja wa waliooa Machame & Mbeya (UMAMBE)

M24 Headquarters-Kigali

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
8,199
Reaction score
8,186
WanaJF tuliooa maeneo tajwa (Machame & Mbeya-hususani KYELA) tunakusudia kwenda kuusajili Umoja wetu kama taasisi ya kutetea haki zetu pale inapotokea Kash-kash zozote katika ndoa zetu. Hivyo basi tunawaomba kwa umoja wetu tukutane tarehe 01/01/2017 (jumapili), pale SAMAKI-SAMAKI, MLIMANI CITY ili kuweza kupitia katiba yetu kifungu kwa kifungu kabla hatujapeleka kwa msajili. Asanteni,
Wenu Mtiifu;
(Signed)
0715143800
Katibu Mkuu (UMAMBE)
 
Nadhan mkiite UWAMAMBE na sio UMAMBE..!! Neno waliooa ndo neno muhim la umoja wenu kwahiyo ni lazima lijumuishwe..!!

Polen sana lakin..
 
WanaJF tuliooa maeneo tajwa (Machame & Mbeya) tunakusudia kwenda kuusajili Umoja wetu kama taasisi ya kutetea haki zetu pale inapotokea Kash-kash zozote katika ndoa zetu. Hivyo basi tunawaomba kwa umoja wetu tukutane tarehe 21/08/2016 (jumapili), pale SAMAKI-SAMAKI, MLIMANI CITY ili kuweza kupitia katiba yetu kifungu kwa kifungu kabla hatujapeleka kwa msajili. Asanteni,
Wenu Mtiifu; 0715143800
Ungespecify kabisa mlio oa Machame na Kyela. Mbeya ni kubwa kama ulivyoogopa kusema Mkoa wa Kilimanjaro
 
Back
Top Bottom