M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Wamachame for lifeee...!!kama wewe ni bolizozo lazima ukae aisee hakuna kuleta mchezo..!chaaa!!!Khaaa.. Mmeamua kutuundia chama[emoji23] [emoji23]
Najivunia kuwa mwanamke WA kimachame.. [emoji120] [emoji120]
[emoji1] [emoji1]Kiruuu.... [emoji15] [emoji15] . Mmeamua kutuundia chama[emoji23] [emoji23]
Najivunia umachame wangu.. [emoji120] [emoji120]
Kyaaaa... Eti mwanaume mzima na Akili zake anaunda chama cha kujitetea [emoji23] [emoji23]Wamachame for lifeee...!!kama wewe ni bolizozo lazima ukae aisee hakuna kuleta mchezo..!chaaa!!!
Wamekufanyia nini Hao?? Au ndio story tu mnazosikia mtaani??Jumlisha na kibosho/uru maana
Mmhhh... Aya mama.. Uwe na siku njemaNimeishiwa mwenzangu, nimebakiwa na cheko tu
Ungespecify kabisa mlio oa Machame na Kyela. Mbeya ni kubwa kama ulivyoogopa kusema Mkoa wa KilimanjaroWanaJF tuliooa maeneo tajwa (Machame & Mbeya) tunakusudia kwenda kuusajili Umoja wetu kama taasisi ya kutetea haki zetu pale inapotokea Kash-kash zozote katika ndoa zetu. Hivyo basi tunawaomba kwa umoja wetu tukutane tarehe 21/08/2016 (jumapili), pale SAMAKI-SAMAKI, MLIMANI CITY ili kuweza kupitia katiba yetu kifungu kwa kifungu kabla hatujapeleka kwa msajili. Asanteni,
Wenu Mtiifu; 0715143800
Nawe pia maaMmhhh... Aya mama.. Uwe na siku njema