Bora nimekuona bestUngespecify kabisa mlio oa Machame na Kyela. Mbeya ni kubwa kama ulivyoogopa kusema Mkoa wa Kilimanjaro
Upo Valentina?Bora nimekuona best
wata share mauzoefu kwenye umoja wao hali ambayo italeta farajaChama cha udhaifu hicho matatizo ya ndoa muyaundie chama ndo akili gani sasa kila ndoa Ina matatizo yake
kuna jirani yangu apa anaionja joto ya jiweWamekufanyia nini Hao?? Au ndio story tu mnazosikia mtaani??
Hizo story tuuu.. Me nilijua yamekukuta wewe.. Acheni kuaminishwa story za uongokuna jirani yangu apa anaionja joto ya jiwe
Sasa kwa akili yako unafikiri kuna atakayekubali apa kwamba yamemkuta??? Lakini mambo ya ndoa yanabaki siri ya wanandoaHizo story tuuu.. Me nilijua yamekukuta wewe.. Acheni kuaminishwa story za uongo
Huyo jiran yako atakuwa na matatizo mengine tu na sio uchaga WA mkewe
Kumbe mambo ya ndoa ni siri ya wanandoa..... Asa we ya jiran yako umeyajulia wapi????Sasa kwa akili yako unafikiri kuna atakayekubali apa kwamba yamemkuta??? Lakini mambo ya ndoa yanabaki siri ya wanandoa
Wamejaaliwa miguu.ila mabinti wa kichaga wamejaliwa jaman
Kyaaaa... Eti mwanaume mzima na Akili zake anaunda chama cha kujitetea [emoji23] [emoji23]
Hii ni aibu sanaa
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Hao labda wanaume wa Dar
Wamejaliwa nini?ila mabinti wa kichaga wamejaliwa jaman
Nipo sana mkakaUpo Valentina?
Wape HI ArushaNipo sana mkaka
hahahahhaa mambo ya siri siriniKumbe mambo ya ndoa ni siri ya wanandoa..... Asa we ya jiran yako umeyajulia wapi????