Hahaaaaahahahahhaa mambo ya siri sirini
nami mtu ndo maana nikajua ya watu!!!Hahaaaaa
Siri sirini.. Hapo sasa we umejuaje Siri za watu???
Ndio uamin sasa kuwa matatizo ya hyo ndoa hayana uhusiano na kabila la mwanamkenami mtu ndo maana nikajua ya watu!!!
Maisha ya mambo mengi usishangae ata yako mwingine akayajua,,,inategemea na uhimili wa mdomo wako tu
Matatizo yakizidi watu hutaftia pakuyaegemezaNdio uamin sasa kuwa matatizo ya hyo ndoa hayana uhusiano na kabila la mwanamke
kwa uzuriNipo sana mkaka
Kwa uzuri kabisakwa uzuri
kwani we mchaga?Kwa uzuri kabisa
Msandawekwani we mchaga?
basi umekosa bahati mahsusi ya kuolewa na mimi..kingine nachowapendea wachaga wanajielewa sana, ukimuoa huwezi kubaki na umaskini,wanapenda vitu vizuri halafu wanajua kupika kama wasambaaMsandawe
Tumejaliwa kwakweli... Ashukuriwe Mungubasi umekosa bahati mahsusi ya kuolewa na mimi..kingine nachowapendea wachaga wanajielewa sana, ukimuoa huwezi kubaki na umaskini,wanapenda vitu vizuri halafu wanajua kupika kama wasambaa
Wamejariw nn? Flat screen au?ila mabinti wa kichaga wamejaliwa jaman
Kwenye kupika uongo, wanakologa tu!!! Kama wewe unawasifia wachaga kupika sijui kabila lenu wanapikajebasi umekosa bahati mahsusi ya kuolewa na mimi..kingine nachowapendea wachaga wanajielewa sana, ukimuoa huwezi kubaki na umaskini,wanapenda vitu vizuri halafu wanajua kupika kama wasambaa
kama huamini nenda chuo chochote hapa tz angalia wasichana wazuri wote uliza wanatokea wapi,utaambiwa kaskaziniWamejariw nn? Flat screen au?
mimi msukumaKwenye kupika uongo, wanakologa tu!!! Kama wewe unawasifia wachaga kupika sijui kabila lenu wanapikaje
nyie wasandawe ni watu wa wapi? wale wa msituni??!Tumejaliwa kwakweli... Ashukuriwe Mungu
Nimekaaa kabisa kwao haina haja kwenda chuo, labda kwasabu uzr upo machoni mwa mtu, kwa mm lazima mzigo uwepo na mguu uwe na mvuto kidogo sasa hawa hawana hizo sifakama huamini nenda chuo chochote hapa tz angalia wasichana wazuri wote uliza wanatokea wapi,utaambiwa kaskazini
Aii jamani wacha wivu tunajua kupika atiKwenye kupika uongo, wanakologa tu!!! Kama wewe unawasifia wachaga kupika sijui kabila lenu wanapikaje
Mi wa pande za kiboshonyie wasandawe ni watu wa wapi? wale wa msituni??!
kumbe chaga barbie nawakubali sana nyie watu, una mchumba?Mi wa pande za kibosho