umoja wa wenye vibamia tuchague Rais wetu mwaka huu , ili atetee maslahi yetu.

Pamoja sana kwenye chama, tumkaribishe Le Mutuz, maisha yanakwenda, lazima utapata kimtaro, au kibwawa cha size yetu, tutazaa, tuta enjoy, maisha yanakwenda, Mungu hakunyimi yote..
Kama hogo ndio dalili za utajiri basi tujione hatufai kuishi hapa duniani..
 
 
Mkuu umeandaa sera na mikakati gani juu ya wanawake wanaotusema kuhusu vibamia
Inatakiwa muache kutongoza sana muwe na mtu 1 ili msijulikane tatizo vibamia vingi vinazurula mno mwishowe wanawatolea siri
 
Bahati mbaya sana mi sijajua kam nina kibamia au laa mana sijapata mtu wakunitangaza hvyo siwezi kuwa mwanacham hai
 
Asante mkuu chagua utakacho
 
Tatizo ni tofauti kati ya ukubwa na udogo,ili kuwe na kibamia lazima kuna oversize iliyosabaishwa na kutumika vibaya kwa kifaa, Dada zetu wengi hawana mazoezi muscles zimetepeta
Kweli hata kubana haiwezekani tena
 
Na ntakuwa first lady, pembeni yako kukupa joto kweli unafaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…