Huyo alishapata msamaha wa rais asiongezeke miakaMsisahau Na umri wa Le Mutuz a.k.a W. J. Malecela
Ana ustar gani uyo bonge nyanyaMsisahau Na umri wa Le Mutuz a.k.a W. J. Malecela
Naona kamuonea ampe Haki yakeMkuu bado unataka kumuongezea miaka tu ina maana 40 haimtoshi.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Haaaaaaaaa[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30]Dully Sykes 53
Enheee[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Kwa hiyo haki yake inawez ikawa kwenye 45 hapa hadi 50
Ndio Hata Mtoto AnanijuaAfande sele nawe unajihesabu star
I don't think so....nlimwacha form1 in 1994 mi nikiwa form 4...tanga techMwana FA 55
[emoji3][emoji3][emoji3]....Kumbe wanakaribia uzee
2008 ndo alikua na 37Monalisa huyu nae Umri umemtupa mkono nafikiri atakua kwenye 37