flora msoffe Hapo nimeelewa ila hapo kwenye red nitaomba tu paendelee kuwa hivyo hivyo hata kama nimeelewanimeelewa kwan vipi!
jd ndo kiongozi wa kusema ana umr wa miaka ishirini na kadhaa wakati ni double ya 20.bado hujaelewa? uje home nikueleweshe
Ngasa kasoma na kaka yangu mwanza o level tena darasa moja. Kaka yangu now ana 35.
<br />
<br />
Uwoya ni mdogo amesoma bunge primary kamaliza 2002 ana miaka 24 now
umemsahau lulu.mwaka huu katimiza miaka kumi na nane kwa mara ya pili. uwiii hiii ndo bongo bana full usanii.
flora msoffe Hapo nimeelewa ila hapo kwenye red nitaomba tu paendelee kuwa hivyo hivyo hata kama nimeelewa
hahaha vibaya kabisa hichi kisimu cha kichina kina green black and white! na blue...loh sasa sijajua red ni ipi?
Red ilikuwa inasomeka hivi *uje home nikueleweshe*
We fala kweli cheti cha kuzaliwa si unataja tuu hasa hawa ambao hawakwenda shulekwa Diamond hapo umejikwa ndugu..huna uhakika na ukisemacho..
kithibitisho sahihi cha umei wa mtu ni chet cha kuzaliwa..
nishakiona chet chake..ni 89mwezi wa kumi
OVER
Uzi wa zamani umefukuliwa
LULU DIVA miaka 19