Umri halisi wa celebrities wa kibongo. ..Part 1.

nimeelewa kwan vipi!
jd ndo kiongozi wa kusema ana umr wa miaka ishirini na kadhaa wakati ni double ya 20.bado hujaelewa? uje home nikueleweshe
flora msoffe Hapo nimeelewa ila hapo kwenye red nitaomba tu paendelee kuwa hivyo hivyo hata kama nimeelewa
 
Last edited by a moderator:
Ngasa kasoma na kaka yangu mwanza o level tena darasa moja. Kaka yangu now ana 35.

kuhusu wacheza mpira hasa wa yanga nliona na miaka yao, wallahi nlibisha hata kama mie sina vyeti vyao vya kuzaliwa.
 
flora msoffe Hapo nimeelewa ila hapo kwenye red nitaomba tu paendelee kuwa hivyo hivyo hata kama nimeelewa

hahaha vibaya kabisa hichi kisimu cha kichina kina green black and white! na blue...loh sasa sijajua red ni ipi?
 
Last edited by a moderator:
Nchi ya Kombolela hii, atakayebutua huyo huyo awa mwanasiasa awe msanii.Vyeti vya kuzaliwa unatafuta mtoto mwenyewe.
 
kwa Diamond hapo umejikwa ndugu..huna uhakika na ukisemacho..
kithibitisho sahihi cha umei wa mtu ni chet cha kuzaliwa..
nishakiona chet chake..ni 89mwezi wa kumi
OVER
We fala kweli cheti cha kuzaliwa si unataja tuu hasa hawa ambao hawakwenda shule
 
Wengine twapambana ili tuonekane wakubwa kumbe wakubwa nao wanataka kuonekana watoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…