Ni Ushauri wa Daktari lakini Kidini itakikana umtahiiri huyo mtoto wako hata hii leo kwani kumtahiri Mtoto hata baada ya siku 8 au siku 40 tangu amezaliwa. Mkuu mullaX Kuwa nalo hilo govinda halina mpango wowote ule zaidi ya uchafu mwilini mwako Mtahiri mtoto wako apate Suna za Mitume.Habari wana JF, juzi kati dadangu na mumewe walienda kwa docta na mtoto wao wakiume, umri miez 8 kutaka kumpatia sunna (kumtahiri). Docta akawaambia si vema kufanya tendo hilo katika umri huo sababu uume hautakua vizur na kuwa saiz ya kawaida yaani uume utakua mdogo au kibamia kama wasemavyo watoto wa mjini. Wasubiri mpaka afike miaka 7 au zaidi. Najua humu madocta ni wengi sasa naomba mnifungue macho juu ya hili, yaani ushahidi wa kisayansi ndio unaohtajika.
Ni Ushauri wa Daktari lakini Kidini itakikana umtahiiri huyo mtoto wako hata hii leo kwani kumtahiri Mtoto hata baada ya siku 8 au siku 40 tangu amezaliwa. Mkuu mullaX Kuwa nalo hilo govinda halina mpango wowote ule zaidi ya uchafu mwilini mwako Mtahiri mtoto wako apate Suna za Mitume.
hata miaka 20 sio mbaya....