Nadhani kati kati ya iyo miaka hapo 23-25 akianzia hapo sio mbaya. Mwanamke anatakiwa kumpenda mume wake sio kumtafuta mume wake sasa hiyo miaka anakuwa na fikra ya kupenda zaidi hivyo akimpenda mtu anakuwa kampenda kweli huku kwingine huku kunakuwa na kupenda na kutafutana mtiani huo