Umri wa miaka 68 ndiyo umri sahihi wa kustaafu uenyekiti CHADEMA?

Umri wa miaka 68 ndiyo umri sahihi wa kustaafu uenyekiti CHADEMA?

TheMaster

Member
Joined
Aug 10, 2023
Posts
36
Reaction score
68
Nimesikiliza hotuba yote ya Ndugu Mwenyekiti F A. Mbowe. Pamoja na mambo mengi ya kushangaza katika hotuba ile ikiwemo kuonekana Mwenyekiti amekamia kukomoana, lakini binafsi nimeshtushwa sana na kauli yake ya kusema anataka amalizie ngwe yake ya mwisho kwasababu hadi sasa ana miaka 63, hivyo akimalizia mitano ijayo atakuwa na miaka 68.

Huku akitanabahisha wazi kabisa kuwa hata watangulizi wake Edwin Mtei alistaafu uwenyekiti akiwa na miaka 68 pia alomfuatia Mtei, Bob Makani nae alistaafu uwenyekiti akiwa na miaka 68.

Je, kustaafu uwenyekiti kwa umri wa miaka 68 ni kifungu ndani ya katiba ya chama au ni utaratibu ulokuwepo CHADEMA au ni Tamaa zake tu mwenyekiti?
 
Nimesikiliza hotuba yote ya Ndugu Mwenyekiti F A. Mbowe. Pamoja na mambo mengi ya kushangaza katika hotuba ile ikiwemo kuonekana Mwenyekiti amekamia kukomoana, lakini binafsi nimeshtushwa sana na kauli yake ya kusema anataka amalizie ngwe yake ya mwisho kwasababu hadi sasa ana miaka 63, hivyo akimalizia mitano ijayo atakuwa na miaka 68.

Huku akitanabahisha wazi kabisa kuwa hata watangulizi wake Edwin Mtei alistaafu uwenyekiti akiwa na miaka 68 pia alomfuatia Mtei, Bob Makani nae alistaafu uwenyekiti akiwa na miaka 68.

Je kustaafu uwenyekiti kwa umri wa miaka 68 ni kifungu ndani ya katiba ya chama au ni utaratibu ulokuwepo CHADEMA au ni Tamaa zake tu mwenyekiti?
Kama hamumtaki si Lissu mpigieni kura? Kwani tatizo nini? Wengi wanaomkataa Mbowe ni timu msigwa
 
1000017623.jpg
 
Ata akistaafu Chadema bado kinaendelea kibaki chini ya mtoto navyojua bado hatuna wapinzani wa uhakika hii nchi
 
Nimesikiliza hotuba yote ya Ndugu Mwenyekiti F A. Mbowe. Pamoja na mambo mengi ya kushangaza katika hotuba ile ikiwemo kuonekana Mwenyekiti amekamia kukomoana, lakini binafsi nimeshtushwa sana na kauli yake ya kusema anataka amalizie ngwe yake ya mwisho kwasababu hadi sasa ana miaka 63, hivyo akimalizia mitano ijayo atakuwa na miaka 68.

Huku akitanabahisha wazi kabisa kuwa hata watangulizi wake Edwin Mtei alistaafu uwenyekiti akiwa na miaka 68 pia alomfuatia Mtei, Bob Makani nae alistaafu uwenyekiti akiwa na miaka 68.

Je kustaafu uwenyekiti kwa umri wa miaka 68 ni kifungu ndani ya katiba ya chama au ni utaratibu ulokuwepo CHADEMA au ni Tamaa zake tu mwenyekiti?
CCM buana, HEBU jadilini ya kwenu
 
Nimesikiliza hotuba yote ya Ndugu Mwenyekiti F A. Mbowe. Pamoja na mambo mengi ya kushangaza katika hotuba ile ikiwemo kuonekana Mwenyekiti amekamia kukomoana, lakini binafsi nimeshtushwa sana na kauli yake ya kusema anataka amalizie ngwe yake ya mwisho kwasababu hadi sasa ana miaka 63, hivyo akimalizia mitano ijayo atakuwa na miaka 68.

Huku akitanabahisha wazi kabisa kuwa hata watangulizi wake Edwin Mtei alistaafu uwenyekiti akiwa na miaka 68 pia alomfuatia Mtei, Bob Makani nae alistaafu uwenyekiti akiwa na miaka 68.

Je kustaafu uwenyekiti kwa umri wa miaka 68 ni kifungu ndani ya katiba ya chama au ni utaratibu ulokuwepo CHADEMA au ni Tamaa zake tu mwenyekiti?
Ni tanaa tu za mbowe
 
Nimesikiliza hotuba yote ya Ndugu Mwenyekiti F A. Mbowe. Pamoja na mambo mengi ya kushangaza katika hotuba ile ikiwemo kuonekana Mwenyekiti amekamia kukomoana, lakini binafsi nimeshtushwa sana na kauli yake ya kusema anataka amalizie ngwe yake ya mwisho kwasababu hadi sasa ana miaka 63, hivyo akimalizia mitano ijayo atakuwa na miaka 68.

Huku akitanabahisha wazi kabisa kuwa hata watangulizi wake Edwin Mtei alistaafu uwenyekiti akiwa na miaka 68 pia alomfuatia Mtei, Bob Makani nae alistaafu uwenyekiti akiwa na miaka 68.

Je kustaafu uwenyekiti kwa umri wa miaka 68 ni kifungu ndani ya katiba ya chama au ni utaratibu ulokuwepo CHADEMA au ni Tamaa zake tu mwenyekiti?
lishakuwa akili sifuri hilo,hilo liko kipesa zaidi.Nani atalisikiliza limekuwa na tamaa,linatuchezea jinga hili,likija kwenye kampeni ni kulifukuza
 
Nimesikiliza hotuba yote ya Ndugu Mwenyekiti F A. Mbowe. Pamoja na mambo mengi ya kushangaza katika hotuba ile ikiwemo kuonekana Mwenyekiti amekamia kukomoana, lakini binafsi nimeshtushwa sana na kauli yake ya kusema anataka amalizie ngwe yake ya mwisho kwasababu hadi sasa ana miaka 63, hivyo akimalizia mitano ijayo atakuwa na miaka 68.

Huku akitanabahisha wazi kabisa kuwa hata watangulizi wake Edwin Mtei alistaafu uwenyekiti akiwa na miaka 68 pia alomfuatia Mtei, Bob Makani nae alistaafu uwenyekiti akiwa na miaka 68.

Je, kustaafu uwenyekiti kwa umri wa miaka 68 ni kifungu ndani ya katiba ya chama au ni utaratibu ulokuwepo CHADEMA au ni Tamaa zake tu mwenyekiti?
Lissu kamwaga mafuta ya taa kwenye shimo la nyoka, sasa siri zinatoka kumbe huko Chadema kuacha uenyekiti hadi ufikishe miaka 68? Angesema mapema ili watu wàsijisumbue kugombea.
Sàsa ona kamuua chacha wangwe, kafukuza zitto, kafukuza Cecil mwambe, sumaye sasa Lissu bila kusema sababu sasa ndo anasema alikuwa hajafikisha 68!
Nyumbu hovyo kabisa.
 
Kwanini unapinga demokrasia?
Mwache agombee wapiga kura wataamua.
 
Kwa sasa wafuasi na mashabiki wa lissu waache kulalamika, tuingie mtaani kumsakia kura lissu, wapambe na machawa kama kina sugu, wenje nk wasitutishe.Wajumbe kiujumla wataamua
 
Nimesikiliza hotuba yote ya Ndugu Mwenyekiti F A. Mbowe. Pamoja na mambo mengi ya kushangaza katika hotuba ile ikiwemo kuonekana Mwenyekiti amekamia kukomoana, lakini binafsi nimeshtushwa sana na kauli yake ya kusema anataka amalizie ngwe yake ya mwisho kwasababu hadi sasa ana miaka 63, hivyo akimalizia mitano ijayo atakuwa na miaka 68.

Huku akitanabahisha wazi kabisa kuwa hata watangulizi wake Edwin Mtei alistaafu uwenyekiti akiwa na miaka 68 pia alomfuatia Mtei, Bob Makani nae alistaafu uwenyekiti akiwa na miaka 68.

Je, kustaafu uwenyekiti kwa umri wa miaka 68 ni kifungu ndani ya katiba ya chama au ni utaratibu ulokuwepo CHADEMA au ni Tamaa zake tu mwenyekiti?
Siasa ni maisha! Hakuna kustaafu siasa hadi mwisho wa maisha! Hata Kikwete hajastaafu siasa, bado yupo! Mkuchika yupo! Wasira yupo! Warioba yupo! Mongela yupo! Makinda yupo! Na wengine wengi.
 
Back
Top Bottom