umri wa mtoto kuanza kukaa

umri wa mtoto kuanza kukaa

Mtende

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2010
Posts
6,385
Reaction score
7,332
wadau habari zenu,dah kiukweli nimewamiss sana ukizingatia loong tim almost six months sijawa active due to the reason nilikua maternity sasa nimerudi rasmi,mzizi mkavu,rosweeter,precious,mwali na wengine mpooo?

swali langu nauliza mtoto wa kike umri wake wa kuanza kukaa ni miezi mingapi?na kuota meno je?

asanteni sana
 
Kukaa unawaanzisha wakiwa miezi minne, kwa watoto wote. Meno inategemea na mtoto. Umesema maternity miezi 6 kwa hiyo ni baby yupo 6 months now? Atakuwa anakaa basi bila hata kuanguka upande. Au?
 
wadau habari zenu,dah kiukweli nimewamiss sana ukizingatia loong tim almost six months sijawa active due to the reason nilikua maternity sasa nimerudi rasmi,mzizi mkavu,rosweeter,precious,mwali na wengine mpooo?

swali langu nauliza mtoto wa kike umri wake wa kuanza kukaa ni miezi mingapi?na kuota meno je?

asanteni sana

Mambo ya kukazia meno yanaanza nini?
 
Kwa kukaa hata from 4 month kuna wanao anza kujaribu but rasmi ni 6 month. wengine wanaweza kuchelewa kidogo.
Meno ni 6 month pia, then a teeth per month hadi 12 month. Miezi ya mtoto wa chini ya 12 month ipo determined by adding 6 to the number of teeth. mfano ukiona mtoto ana meno 3, basi atakua na miezi 9 (6+9). but this is general rule, kuna exception.
Out of topic: I missed you, hongera kwa ndoa naona avatar yako unaangsha kicheko cha furaha, hongera sana
 
Kukaa unawaanzisha wakiwa miezi minne, kwa watoto wote. Meno inategemea na mtoto. Umesema maternity miezi 6 kwa hiyo ni baby yupo 6 months now? Atakuwa anakaa basi bila hata kuanguka upande. Au?

fidel upo? yeah she is six months now ila bado hajaweza kukaa mwenyewe coz nlikua sijamwanzisha kumkalisha eti huwa namonea huruma naona kama ataumia vile
 
fidel upo? yeah she is six months now ila bado hajaweza kukaa mwenyewe coz nlikua sijamwanzisha kumkalisha eti huwa namonea huruma naona kama ataumia vile

Mi nipo Mtende hongera sana kwa kulea, unakula vizuri lakini ili utoe maziwa?
 
Last edited by a moderator:
Kwa kukaa hata from 4 month kuna wanao anza kujaribu but rasmi ni 6 month. wengine wanaweza kuchelewa kidogo.
Meno ni 6 month pia, then a teeth per month hadi 12 month. Miezi ya mtoto wa chini ya 12 month ipo determined by adding 6 to the number of teeth. mfano ukiona mtoto ana meno 3, basi atakua na miezi 9 (6+9). but this is general rule, kuna exception.
Out of topic: I missed you, hongera kwa ndoa naona avatar yako unaangsha kicheko cha furaha, hongera sana

thanks mwali jamani we uliniahidi utakuja kupika halafu ukapotelea ehe kwa hiyo nianze kumpa mazoezi ya kukaa?
 
Kukaa unawaanzisha wakiwa miezi minne, kwa watoto wote. Meno inategemea na mtoto. Umesema maternity miezi 6 kwa hiyo ni baby yupo 6 months now? Atakuwa anakaa basi bila hata kuanguka upande. Au?

mzurimie thanks mumy mimi sijamwanzisha bado hebu ngoja niache kyumwonea huruma nimkalishe kuanzia leo asije kua mzembe
 
sijaana kumkalisha maana nilikua nahisi bado umri wa kukaa haujafika ndo maana nimekuja jamvini kuuliza mbona una wasiwasi sana kaka?
 
Miezi 6 hujamkalisha mtoto, tena mtoto wa kike, umemchelewesha sana bibie, usije ukatuharibia mtoto bure, miezi 6 alitakiwa awe ameshakaza kukaa na akifika miezi 9 anaanza kutembea, hebu anza kumkalisha mtoto bana
sijaana kumkalisha maana
nilikua nahisi bado umri wa kukaa haujafika ndo maana nimekuja jamvini
kuuliza mbona una wasiwasi sana kaka?
 
Kwa kukaa hata from 4 month kuna wanao anza kujaribu but rasmi ni 6 month. wengine wanaweza kuchelewa kidogo.
Meno ni 6 month pia, then a teeth per month hadi 12 month. Miezi ya mtoto wa chini ya 12 month ipo determined by adding 6 to the number of teeth. mfano ukiona mtoto ana meno 3, basi atakua na miezi 9 (6+9). but this is general rule,

Mbona haya mahesabu siyaelewi.
6+9 si ni 15? au siku hizi imebadilika?
 
Miezi 6 hujamkalisha mtoto, tena mtoto wa kike, umemchelewesha sana bibie, usije ukatuharibia mtoto bure, miezi 6 alitakiwa awe ameshakaza kukaa na akifika miezi 9 anaanza kutembea, hebu anza kumkalisha mtoto bana

he he he nadhani alimaanisha 6+3 aisee...
 
sijaana kumkalisha maana nilikua nahisi bado umri wa kukaa haujafika ndo maana nimekuja jamvini kuuliza mbona una wasiwasi sana kaka?

da ngoja nipate maujanja maana wife ndo kwanza mimba ya miezi sita
 
Sorry, I meant 6+3=9. The logic is contained in the explanation. Asante kwa kukosoa.
Nilishangaa nikafikiri labda nili overlook. anyway asante pia kwa somo jipya nilikuwa sijaipata hiyo.
 
Back
Top Bottom