Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,332
wadau habari zenu,dah kiukweli nimewamiss sana ukizingatia loong tim almost six months sijawa active due to the reason nilikua maternity sasa nimerudi rasmi,mzizi mkavu,rosweeter,precious,mwali na wengine mpooo?
swali langu nauliza mtoto wa kike umri wake wa kuanza kukaa ni miezi mingapi?na kuota meno je?
asanteni sana
swali langu nauliza mtoto wa kike umri wake wa kuanza kukaa ni miezi mingapi?na kuota meno je?
asanteni sana