Earthworker
Member
- Jul 15, 2011
- 83
- 30
=HurumaMwenzako ana bonde la ufa hivyo ana kuonea huluma sema wewe hujui tu, au una mguu wa mtoto?
shukrani mwalimu wa kiswahili=Huruma
Mkuu mdajifunzia humo humo kuogelea! Kiukweli naitaji anitunuku hata kama ni kuchovya tu! PoaMwenzako ana bonde la ufa hivyo ana kuonea huluma sema wewe hujui tu, au una mguu wa mtoto?
Hawa mabinti wadogo wadogo kama nyie pasua kichwa mtaniua kwa presha!toto utampwelepeta embu tafuta size yako bana
Haya mkuu endelea kupambana lakini angalia uvungu usikuponze.Mkuu mdajifunzia humo humo kuogelea! Kiukweli naitaji anitunuku hata kama ni kuchovya tu! Poa
Silili basi
Hawa mabinti wadogo wadogo kama nyie pasua kichwa mtaniua kwa presha!toto utampwelepeta embu tafuta size yako bana
Mabinti wadogo mnaumiza watu vichwa siwatakitoto utampwelepeta embu tafuta size yako bana
khee we sema unataka kulelewa huna shida ya nyapuMabinti wadogo mnaumiza watu vichwa siwataki
Wanaume wa dar wananini kwani?Mwanaume mwingine wa Dar huyu hapa!
achana na mchezo mchafu, kwanza haupo tayari wewe, huna unalolijua, achana na habari hiyo kabisa. wakwako siyo huyo. achana achana kabisa na usahauMabinti wadogo mnaumiza watu vichwa siwataki
Ha haa. Inakua kama mkuu wa kaya. Badala ya kusema nimefurahi anasema 'nimefly'=Huruma
Mtu mzima silelewi tunakuwa tunaleana!khee we sema unataka kulelewa huna shida ya nyapu
Siwatii shombo banaKwa hiyo unataka kuwatia tu shombo wadada wa watu?
Pia kulelewa sio dhambi wanasema ukibebwa bebeka usibembee! Akinikubali na kuamua kunilea poa tukhee we sema unataka kulelewa huna shida ya nyapu