Umuhimu wa Blood Group kwa waajiri ili Mwajiriwa apewe kitambulisho.

chief 1

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2012
Posts
260
Reaction score
101
Heshima kwenu wakuu.

Naombeni msaada wa kueleweshwa kua hivi ni kwa nini makampuni mengi hasa ya kigeni au hata nchi za nje, wanapotaka kukutengenezea kitambulisho lazima kwanza wajue gurupu lako la damu?

Hii inamaana gani? Au ina umuhimu gani kwa muajiriwa au muajiri? Jamani naombeni kufahamishwa natanguliza shukrani.
 
Mkuu japo Mimi si Dr lakini hata Tz suala hili lipo kwenye Jeshi letu nadhani kubwa na la msingi ni pale mtu anapopata majeraha makubwa yanayoweza kuhatarisha maisha.

Ma Dr hatahitaji kugundua ana kundi gani la damu zaidi ya kusoma Kitambulisho chake tu na kuweza kunusuru maisha kulingana na uvujaji mkubwa wa damu utakaompata.
 
Daaa!! nashukuru sana mkuu kwa kunitoa tongotongo machoni, nimeshaelewa kitu flani kutokana na maelezo yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…