mickey coltello
Member
- Sep 23, 2023
- 14
- 17
Popote unapata ajira,Ningependa kujua kiundani juu ya kozi hii ya BAF ni kivipi mtu aliesoma anaweza kunufaika na sehemu ambazo mtu anaweza kuajiriwa
Nakaribisha wataalamu kwaajili ya maelekezo
Ningependa kujua ni sehemu na kaz zipi unaweza pataPopote unapata ajira,
Banks...TRA...Tanesco...yaan hii popote kambi na hata ukiamua kujiajiri itakusaidia...mbaya usiende soma vyuo vya kishamba...caz exposure kwenye hii course ni muhimu...Ningependa kujua ni sehemu na kaz zipi unaweza pata
Naenda Mzumbe kakaBanks...TRA...Tanesco...yaan hii popote kambi na hata ukiamua kujiajiri itakusaidia...mbaya usiende soma vyuo vya kishamba...caz exposure kwenye hii course ni muhimu...
Sawa kakaWe nenda kasome mtu akikuuliza we mwambie "uzuri wa hii kozi unaajiriwa popote"