Umuhimu wa kupika vyakula bila kuiva sana kwa afya ya mwili

God'sBeliever

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2015
Posts
5,788
Reaction score
3,033
Habari zenu wanaJF.

Natumaini hamjambo kwa neema alizotujalia mpenzi wetu mwenyezi mungu tumshukuru.

Ni hivi mimi naishi na bi mkubwa hapa yeye anapenda kupika vyakula mfano, nyama au mboga za majani haziivi sana yaani hadi zilainike.

Nikamwuliza akasema eti madini yanapotea je ni kweli? maana mimi nimesoma biology ila najua chakula chochote kikiiva na kulainika vizuri ndo inapendeza ili digestion iwe fasta. otherwise utaenda tu kujisaidia chooni.

Hebu nielewesheni ma Dr wangu ni kweli au mbembwe tu za bimkubwa.

Natanguliza shukrani.
 
mkuu mleta mada kwa ninavyofaham mimi chakula ambacho kinatakiwa kisiive sana ni mboga za majani kwa sababu kila nutriets zinazopatikana kwenye mboga za majani ni rahisi kupotea kwenye joto hivyo wanashauri kuzipika kwa dk 10 mpka 20 ila kwenye inshu ya nyama,nyama inatakiwa iive vizuri vinginevyo unajitafutia matatizo mwilini nyama iive vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…