Umuhimu wa kutumia original plugs... kwa gari hii ya Toyota.

Umuhimu wa kutumia original plugs... kwa gari hii ya Toyota.

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Wadau mimi huwa nina tatizo moja na mafundi. Fundi wangu wa muda mrefu alipata dharura akasafiri. Nikaanza mtumia mwingine. Gari ilibadilika ulaji wa mafuta ikawa inatumia lita 1 kwa kms 6. Wife mchumba wangu akawa analalamika kuwa now inatumia mafuta zaidi na pia inatetemeka.

Kumpelekea fundi akasema itakuwa ni plugs.nikamwambia bdilisha.akabadilisha gari yenyewe ni Toyota Cami 4wheel Drive Auto. Kumbe akaweka za kimagumashi...mafuta ikawa inafika 1 litre per 8 kms. But bado ina vibrate na ilencer haitulii...inashuka kila wakati. Ikipandishwa after two to three days inashuka sana.

Fundi anasema ninunue plugs original.this time nataka niende mwenyewe. Engine oil na oil filter nmebadilisha nimeweka synthetic nataka gari iwe smooth na yenye utulivu. Je wapi ntapata Original plugs za Toyota Cami? Na bei yake ikoje ili niende najua kabisa jamaa wasinigonge.
 
Wadau mimi huwa nina tatizo moja na mafundi. Fundi wangu wa muda mrefu alipata dharura akasafiri. Nikaanza mtumia mwingine. Gari ilibadilika ulaji wa mafuta ikawa inatumia lita 1 kwa kms 6. Wife mchumba wangu akawa analalamika kuwa now inatumia mafuta zaidi na pia inatetemeka.

Kumpelekea fundi akasema itakuwa ni plugs.nikamwambia bdilisha.akabadilisha gari yenyewe ni Toyota Cami 4wheel Drive Auto. Kumbe akaweka za kimagumashi...mafuta ikawa inafika 1 litre per 8 kms. But bado ina vibrate na ilencer haitulii...inashuka kila wakati. Ikipandishwa after two to three days inashuka sana.

Fundi anasema ninunue plugs original.this time nataka niende mwenyewe. Engine oil na oil filter nmebadilisha nimeweka synthetic nataka gari iwe smooth na yenye utulivu. Je wapi ntapata Original plugs za Toyota Cami? Na bei yake ikoje ili niende najua kabisa jamaa wasinigonge.
Jaribu pale Kisangani au Master Card Kariakoo
 
Gari imekuja na manual yake angalia specification ya plugs iliyopo kwenye kitabu
 
Wadau mimi huwa nina tatizo moja na mafundi. Fundi wangu wa muda mrefu alipata dharura akasafiri. Nikaanza mtumia mwingine. Gari ilibadilika ulaji wa mafuta ikawa inatumia lita 1 kwa kms 6. Wife mchumba wangu akawa analalamika kuwa now inatumia mafuta zaidi na pia inatetemeka.

Kumpelekea fundi akasema itakuwa ni plugs.nikamwambia bdilisha.akabadilisha gari yenyewe ni Toyota Cami 4wheel Drive Auto. Kumbe akaweka za kimagumashi...mafuta ikawa inafika 1 litre per 8 kms. But bado ina vibrate na ilencer haitulii...inashuka kila wakati. Ikipandishwa after two to three days inashuka sana.

Fundi anasema ninunue plugs original.this time nataka niende mwenyewe. Engine oil na oil filter nmebadilisha nimeweka synthetic nataka gari iwe smooth na yenye utulivu. Je wapi ntapata Original plugs za Toyota Cami? Na bei yake ikoje ili niende najua kabisa jamaa wasinigonge.
Angalia specification za plugs kwenye manual ya gari, kama manual huna angalia online, then nenda maduka yanaitwa master card, kisangani na toyota tanzania then compare, bei duka litakalokuwa na bei ya chini nunua hapo ila ningekuwa mimi ningenunua toyota tanzania maana nina uhakika asilimia 100% kuwa hamna feki hapo! ingawa hao wengine nao wanaaminika ila kwangu mimi nawaamini zaidi toyota tanzania. Ila t.tanzania bei zai zipo juu kuliko mastercard na hata kisangani kama hutopata maduka yoooote hayo basi agizia ebay ila fanya utafiti kwanza maana kule kuna wachina wana vitu feki hatareee halafu wanauza kwa bei juu vilevile. Kila la heri!!!
 
Angalia specification za plugs kwenye manual ya gari, kama manual huna angalia online, then nenda maduka yanaitwa master card, kisangani na toyota tanzania then compare, bei duka litakalokuwa na bei ya chini nunua hapo ila ningekuwa mimi ningenunua toyota tanzania maana nina uhakika asilimia 100% kuwa hamna feki hapo! ingawa hao wengine nao wanaaminika ila kwangu mimi nawaamini zaidi toyota tanzania. Ila t.tanzania bei zai zipo juu kuliko mastercard na hata kisangani kama hutopata maduka yoooote hayo basi agizia ebay ila fanya utafiti kwanza maana kule kuna wachina wana vitu feki hatareee halafu wanauza kwa bei juu vilevile. Kila la heri!!!
Mkuu samahani kwa kudandia mada, lakini gari nyingi za kijapani zinakuja na manual zilizoandikwa kijapani. Mimi nina Toyota succeed lakini manual book yake imeandikwa kijapani, naweza pata iliyoandikwa kwa kiingereza?
 
Mkuu samahani kwa kudandia mada, lakini gari nyingi za kijapani zinakuja na manual zilizoandikwa kijapani. Mimi nina Toyota succeed lakini manual book yake imeandikwa kijapani, naweza pata iliyoandikwa kwa kiingereza?
Tafuta kwenye mtandao
 
Rahisi tu kupata plug sahihi kwa gari yako. Ingia Google andika TOYODIY (Toyo Do It Yourself). Ingia kwenye link na utaingiza chassis number ya gari yako. Ukishapafanikiwa, tafuta plug namba, then nenda na hiyo namba kwenye maduka yaliyotajwa.
 
Mkuu samahani kwa kudandia mada, lakini gari nyingi za kijapani zinakuja na manual zilizoandikwa kijapani. Mimi nina Toyota succeed lakini manual book yake imeandikwa kijapani, naweza pata iliyoandikwa kwa kiingereza?
Tafuta app ya google translate inatranslate page kama page to English. Unakuwa kama unaipiga picha hivi unasoma desa.
 
Rahisi tu kupata plug sahihi kwa gari yako. Ingia Google andika TOYODIY (Toyo Do It Yourself). Ingia kwenye link na utaingiza chassis number ya gari yako. Ukishapafanikiwa, tafuta plug namba, then nenda na hiyo namba kwenye maduka yaliyotajwa.
Asante mkuu.
 
Wadau mimi huwa nina tatizo moja na mafundi. Fundi wangu wa muda mrefu alipata dharura akasafiri. Nikaanza mtumia mwingine. Gari ilibadilika ulaji wa mafuta ikawa inatumia lita 1 kwa kms 6. Wife mchumba wangu akawa analalamika kuwa now inatumia mafuta zaidi na pia inatetemeka.

Kumpelekea fundi akasema itakuwa ni plugs.nikamwambia bdilisha.akabadilisha gari yenyewe ni Toyota Cami 4wheel Drive Auto. Kumbe akaweka za kimagumashi...mafuta ikawa inafika 1 litre per 8 kms. But bado ina vibrate na ilencer haitulii...inashuka kila wakati. Ikipandishwa after two to three days inashuka sana.

Fundi anasema ninunue plugs original.this time nataka niende mwenyewe. Engine oil na oil filter nmebadilisha nimeweka synthetic nataka gari iwe smooth na yenye utulivu. Je wapi ntapata Original plugs za Toyota Cami? Na bei yake ikoje ili niende najua kabisa jamaa wasinigonge.
Mkuu vibration ilipungua?
 
Nenda dukani ulizia Iridium plugs, hizi ni nzuri ni aina ya plug sio kampuni.

Halafu pia cheki na coils za gari nazo, mana unaweza badilisha plug ishu ipo kwenye coils, kama check engine inawaka kisha engine inashake basi oxygen sensor nayo inaweza kuwa mbovu
 
Back
Top Bottom