Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,753
- 10,747
Msingi wa Ling’wenya na wakili wake kuandika barua kwa RPC Ilala kuomba nyaraka za uthibitisho dhidi ya shahidhi wa pili wa upande wa mashtaka katika kesi hiyo ndogo ni kwamba shahidi huyo hakuwa Central Dar es Salaam, mwaka 2020.
Hivyo kama mahakama itatupilia mbali pingamizi la Serikali, na ikaipokea barua yake hiyo basi upande wa mashtaka utakuwa mtegoni.
Maana hatua itakayofuata Ling’wenya ataiomba mahakama hiyo imuamuru RPC Ilala kumpatia au kuwasilisha mahakamani hapo nyaraka hizo alizoziomba ili kujiridhisha kama kweli mwaka 2020 DC Msemwa alikuwa akifanya kazi Central.
Lakini kama nyaraka hizo zisipopatikana au kuletwa na zisiwe na uthibitisho huo, ni dhahiri ushahidi wa shahidi huyo wa pili wa upande wa mashtaka hautakuwa na miguu ya kusimamia.
Updates
Dar es Salaam. Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi imekubali pingamizi la mawakili wa Serikali la kutopokea barua kama kielelezo cha ushahidi wa upande wa utetezi katika kesi ndogo ndani ya kesi kubwa ya ugaidi inayomkabili Mwenyeki wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu.
Uamuzi huo umetolewa leo Jumatatu Novemba 29, 2021 na Jaji Joachim Tiganga na kueleza kuwa mshtakiwa huyo Mohamed Ling'wenya hajaweza kuieleza mahakama ni kwa nini barua hiyo inamhuri wa naibu msajili.
Hivyo kama mahakama itatupilia mbali pingamizi la Serikali, na ikaipokea barua yake hiyo basi upande wa mashtaka utakuwa mtegoni.
Maana hatua itakayofuata Ling’wenya ataiomba mahakama hiyo imuamuru RPC Ilala kumpatia au kuwasilisha mahakamani hapo nyaraka hizo alizoziomba ili kujiridhisha kama kweli mwaka 2020 DC Msemwa alikuwa akifanya kazi Central.
Lakini kama nyaraka hizo zisipopatikana au kuletwa na zisiwe na uthibitisho huo, ni dhahiri ushahidi wa shahidi huyo wa pili wa upande wa mashtaka hautakuwa na miguu ya kusimamia.
Updates
Dar es Salaam. Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi imekubali pingamizi la mawakili wa Serikali la kutopokea barua kama kielelezo cha ushahidi wa upande wa utetezi katika kesi ndogo ndani ya kesi kubwa ya ugaidi inayomkabili Mwenyeki wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu.
Uamuzi huo umetolewa leo Jumatatu Novemba 29, 2021 na Jaji Joachim Tiganga na kueleza kuwa mshtakiwa huyo Mohamed Ling'wenya hajaweza kuieleza mahakama ni kwa nini barua hiyo inamhuri wa naibu msajili.