Umuhimu wa Maamuzi ya leo kwenye kesi ya Mbowe na wenzake

Umuhimu wa Maamuzi ya leo kwenye kesi ya Mbowe na wenzake

Kurunzi

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
9,753
Reaction score
10,747
Msingi wa Ling’wenya na wakili wake kuandika barua kwa RPC Ilala kuomba nyaraka za uthibitisho dhidi ya shahidhi wa pili wa upande wa mashtaka katika kesi hiyo ndogo ni kwamba shahidi huyo hakuwa Central Dar es Salaam, mwaka 2020.

Hivyo kama mahakama itatupilia mbali pingamizi la Serikali, na ikaipokea barua yake hiyo basi upande wa mashtaka utakuwa mtegoni.

Maana hatua itakayofuata Ling’wenya ataiomba mahakama hiyo imuamuru RPC Ilala kumpatia au kuwasilisha mahakamani hapo nyaraka hizo alizoziomba ili kujiridhisha kama kweli mwaka 2020 DC Msemwa alikuwa akifanya kazi Central.

Lakini kama nyaraka hizo zisipopatikana au kuletwa na zisiwe na uthibitisho huo, ni dhahiri ushahidi wa shahidi huyo wa pili wa upande wa mashtaka hautakuwa na miguu ya kusimamia.

Updates
Dar es Salaam. Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi imekubali pingamizi la mawakili wa Serikali la kutopokea barua kama kielelezo cha ushahidi wa upande wa utetezi katika kesi ndogo ndani ya kesi kubwa ya ugaidi inayomkabili Mwenyeki wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu.

Uamuzi huo umetolewa leo Jumatatu Novemba 29, 2021 na Jaji Joachim Tiganga na kueleza kuwa mshtakiwa huyo Mohamed Ling'wenya hajaweza kuieleza mahakama ni kwa nini barua hiyo inamhuri wa naibu msajili.
 
Mi naona hii kesi Kuna mtu amekamiwa Sana na inaweza kutumia mda mrefu Sana Kama vioja vitaendelea hivi hivi nashauri tukae kimya mahakamani ili wafanye walichodhamiria lakini kwa dalili hizi mtu kakamiwa Sana na ameingia kwenye mtego wao
 
Kwa mawazo yangu hii case ilishatolewa maelekezo kutoka kwa aliyeuthibitishia ulimwengu kuwa Mbowe ni Gaidi na wenzake walishahukumiwa tayari!!

Hawa majaji wanapuyanga makusudi kabisa, hasa huyu Tiganga hata kuzingatia muda hazingatii, mawakili wa serikali wanajichelewesha makusudi kabisa lakini hawakemei, anaonesha ushikaji nao hadharan!!

ITAKUWA NI MUUJIZA MKUBWA SANA KWA BARUA HIYO KUPOKELEWA MAHAKAMANI
 
Sasa kwani kuna hofu gani ya mwajiri kuthibitisha mwajiriwa kuwa mahali pa kazi alipompanga?

Wakitumia nguvu kukwepa hili ni uthibitisho wa hata kipofu wa taifa kuwa mashahidi wa jamhuri ni wa kukodi kusema uongo (baradhuli)
 
Msingi wa Ling’wenya na wakili wake kuandika barua kwa RPC Ilala kuomba nyaraka za uuthibitisho dhidi ya shahidhi wa pili wa upande wa mashtaka katika kesi hiyo ndogo ni kwamba shahidi huyo hakuwa Central Dar es Salaam, mwaka 2020.

Hivyo kama mahakama itatupilia mbali pingamizi la Serikali, na ikaipokea barua yake hiyo basi upande wa mashtaka utakuwa mtegoni.

Maana hatua itakayofuata Ling’wenya ataiomba mahakama hiyo imuamuru RPC Ilala kumpatia au kuwasilisha mahakamani hapo nyaraka hizo alizoziomba ili kujiridhisha kama kweli mwaka 2020 DC Msemwa alikuwa akifanya kazi Central.

Lakini kama nyaraka hizo zisipopatikana au kuletwa na zisiwe na uthibitisho huo, ni dhahiri ushahidi wa shahidi huyo wa pili wa upande wa mashtaka hautakuwa na miguu ya kusimamia.
Jaji huyu hatakuwa na iwezo
Msingi wa Ling’wenya na wakili wake kuandika barua kwa RPC Ilala kuomba nyaraka za uuthibitisho dhidi ya shahidhi wa pili wa upande wa mashtaka katika kesi hiyo ndogo ni kwamba shahidi huyo hakuwa Central Dar es Salaam, mwaka 2020.

Hivyo kama mahakama itatupilia mbali pingamizi la Serikali, na ikaipokea barua yake hiyo basi upande wa mashtaka utakuwa mtegoni.

Maana hatua itakayofuata Ling’wenya ataiomba mahakama hiyo imuamuru RPC Ilala kumpatia au kuwasilisha mahakamani hapo nyaraka hizo alizoziomba ili kujiridhisha kama kweli mwaka 2020 DC Msemwa alikuwa akifanya kazi Central.

Lakini kama nyaraka hizo zisipopatikana au kuletwa na zisiwe na uthibitisho huo, ni dhahiri ushahidi wa shahidi huyo wa pili wa upande wa mashtaka hautakuwa na miguu ya kusimamia.
Ndiyo maanawakili wa serikali waliamua kupinga kesi ndogo kwasababu walikuwa wnafahamu kuwa imekaa kimtego ,na hapa ndipo tutakapo mpima jaji huyu ankubali makosa kisheria lakini mwisho wake huwa maamuzi yake yanakizana nakile alichokikubali
 
Kwa record za huyu jaji kwenye hii kesi, namuona kabisa hawezi kuruhusu iyo nyaraka ipokelewe
Wakati anatoa maamuzi ya mapingamizi yale matatu ya kina Kibatala dhidi ya kuikataa barua ya Msajili wiki juzi, alisema hivi, nanukuu;

"...nitaamua hili jambo kwa msingi wa HAKI KUTENDEKA NA IONEKANE IMETENDEKA KWELI..."

SASA, kwa hili sijui atatumia kigezo gani kumkatalia shahidi asipewe vielelezo vile toka kwa RPC Ilala maana ndivyo vinavyoweza kumsaidia yeye Jaji kutoa maamuzi ya haki...

Kuna mwanya mmoja tu anaweza kuutumia kukataa barua hiyo. Nao ni kwamba, mshitakiwa hakufuata utaratibu wa kisheria kuomba nyaraka hizo toka kwa RPC wa Ilala...

Kama akikataa kupokelewa nyaraka kwa msingi huu, basi itakuwa ni ajabu sana. Na hii itakuwa na maana kwamba, hataki hawa vijana watumie njia yoyote halali kuthibitisha "innocence" yao juu malosa wanayotuhumiwa nayo....

Na hii kwa maana nyingine ni kuwa, atakuwa ameamua kuinyonga haki ya watuhumiwa hawa mchana kweupe...!
 
Msingi wa Ling’wenya na wakili wake kuandika barua kwa RPC Ilala kuomba nyaraka za uthibitisho dhidi ya shahidhi wa pili wa upande wa mashtaka katika kesi hiyo ndogo ni kwamba shahidi huyo hakuwa Central Dar es Salaam, mwaka 2020.

Hivyo kama mahakama itatupilia mbali pingamizi la Serikali, na ikaipokea barua yake hiyo basi upande wa mashtaka utakuwa mtegoni.

Maana hatua itakayofuata Ling’wenya ataiomba mahakama hiyo imuamuru RPC Ilala kumpatia au kuwasilisha mahakamani hapo nyaraka hizo alizoziomba ili kujiridhisha kama kweli mwaka 2020 DC Msemwa alikuwa akifanya kazi Central.

Lakini kama nyaraka hizo zisipopatikana au kuletwa na zisiwe na uthibitisho huo, ni dhahiri ushahidi wa shahidi huyo wa pili wa upande wa mashtaka hautakuwa na miguu ya kusimamia.
Mimi naona tofauti. Naona hivi, kama kweli shahidi hakuwepo Central Dar es Salaam, ina maana kutakuwa na entry ya DC Msemwa kwa siku hiyo na ili ionekane hivyo, shahidi ataiomba mahakama iamru RPC alete nyaraka hizo tajwa mahakamani. Isipokuwa kama ni kweli shahidi alipelekwa Central Dar es Salaam, ina maana madai yake hayataweza kuwa na ushahidi wowote. Katika kutafuta haki na kama hizo nyaraka zitakuwa muhimu kwa mahakama, ina maana mahakama itatoa order ziletwe mahakamani.
 
Then huyu mwanamke anasema dhambi kuchoma vufaranga ilhali anasingizia ugaidi mtu asie na hatia kabisa!

Urais hulevya sana! Mtu hujiona Mungu mtu anayeweza kumfanyia mtu chochote
 
Msingi wa Ling’wenya na wakili wake kuandika barua kwa RPC Ilala kuomba nyaraka za uthibitisho dhidi ya shahidhi wa pili wa upande wa mashtaka katika kesi hiyo ndogo ni kwamba shahidi huyo hakuwa Central Dar es Salaam, mwaka 2020.

Hivyo kama mahakama itatupilia mbali pingamizi la Serikali, na ikaipokea barua yake hiyo basi upande wa mashtaka utakuwa mtegoni.

Maana hatua itakayofuata Ling’wenya ataiomba mahakama hiyo imuamuru RPC Ilala kumpatia au kuwasilisha mahakamani hapo nyaraka hizo alizoziomba ili kujiridhisha kama kweli mwaka 2020 DC Msemwa alikuwa akifanya kazi Central.

Lakini kama nyaraka hizo zisipopatikana au kuletwa na zisiwe na uthibitisho huo, ni dhahiri ushahidi wa shahidi huyo wa pili wa upande wa mashtaka hautakuwa na miguu ya kusimamia.
Aseeeee!
 
Back
Top Bottom