Kabla ya kuja kwa mavazi, watu wazamani walitumia kama kichaka cha kusitiri utupu.Angalau nywele unaona utofauti wa kupigwa na jua ukiwa kipara ila bado sioni umuhimu wake mkubwa pia.
Mkuu umenifurahisha😀1. Zina'stimu ukizishika hasa za mwenzio..(romance)
2. Ukipenda kuzitoa na kuacha kipara .. Watoto utakaowapata akili zitakuwa ndogo.
3. Zinakushawishi ununue chupi au boxer mpya.
'By nature' binadamu ni mnyama na aliumbwa uchi na alianza kuishi uchi kabla hajagundua mavazi, kwa hiyo hizo nywele zilimsetiri uchi wake kabla hajagundua mavazi.Habari zenu.
Mimi naombeni msaada mwenye kujua zaidi kazi ya nywele ktk sehemu za siri ni nini. Hasa pubic hair kazi yake kuu ni nini maana hata uliyatoa hamna madhara.
Nimefanya kuangalia google il sijarihika na majibu kuwa ni kuzuia baadhi ya germs maeneo hayo.
Ni aibu kwa umri wangu wa mtu mzima, nina hizo nywele ila sijui kazi yake.