umuhimu wa ubunifu kwenye sex kwa wanandoa

umuhimu wa ubunifu kwenye sex kwa wanandoa

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
2,977
Reaction score
3,798
Ni muhimu sana kwa mke na mme kuwa wabunifu kwenye sex kila siku kwa kuzingatia yafuatayo:
1.maandalizi ya sex yaanze mara tu mnapoaganabkwenda makazini
2.amsha amsha ya sex iwe inaendelea baina yenu mnapokuwa makazini kwenu
3.kutafutiana vizawadi vya kuamsha hamasa ya sex baina yenu
4.Kuahidiana kuwa gemu itakuwa kalino mkirejea home
5.kusoma vitabu kadhaa wa kadhaa juu ya somo la mapenzi
Hatua hizo zitapandisha mapenzi baina yenu na kuifanya ndoa kuwa tamu kila siku
 
Ni muhimu sana kwa mke na mme kuwa wabunifu kwenye sex kila siku kwa kuzingatia yafuatayo:
1.maandalizi ya sex yaanze mara tu mnapoaganabkwenda makazini
2.amsha amsha ya sex iwe inaendelea baina yenu mnapokuwa makazini kwenu
3.kutafutiana vizawadi vya kuamsha hamasa ya sex baina yenu
4.Kuahidiana kuwa gemu itakuwa kalino mkirejea home
5.kusoma vitabu kadhaa wa kadhaa juu ya somo la mapenzi
Hatua hizo zitapandisha mapenzi baina yenu na kuifanya ndoa kuwa tamu kila siku
Boss mnapokea mshahara wa 13? sisi wa 12 tumeshavurugwa!
 
Back
Top Bottom