Umuhimu wa Uhuru wa kujieleza

Umuhimu wa Uhuru wa kujieleza

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
IMG_20210610_132324_480.jpg


Huwa ni msingi wa haki nyingine za kibinadamu.Ikiwa watu wana uhuru wa kujieleza wanaweza kusema pale haki zao nyingine zinapovunjwa na kuwawajibisha wavunja haki

IMG_20210610_132317_630.jpg

Uhuru wa kujieleza husaidia vyombo vya habari kuupa Umma taarifa muhimu kuhusu mambo yanayoendelea kwenye jamii yao

Huwapa Wananchi nafasi ya kushiriki kwenye Demokrasia kama vile Uchaguzi. Vyombo vya habari vinaweza kutoa taarifa kuhusu wagombea ili wapiga Kura waweze kufanya maamuzi wakiwa na ufahamu mzuri
 
Upvote 0
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom