Umuonapo ex wako na mpenzi mpya

<br />
<brn />
Nilikua napita tu,wakale walisema MAVI YA KALE HAYANUKI.
 

Kuna thread moja hapa dada zetu wanasema hawapendi wanaume wapole, please ikiwa hivyo tembeza kichapo kidogo ili asiendelee kumtaja. Wanasema hiyo kitu wanaipenda. Mnisamehe jamani hilo darasa nimelipata hapahapa.
 
Kuna thread moja hapa dada zetu wanasema hawapendi wanaume wapole, please ikiwa hivyo tembeza kichapo kidogo ili asiendelee kumtaja. Wanasema hiyo kitu wanaipenda. Mnisamehe jamani hilo darasa nimelipata hapahapa.
Hahahahahaha ampe za uso kidogo ili akae kwenye mstari
 
Hahahahahaha ampe za uso kidogo ili akae kwenye mstari

Hahaaa BB
Mambo gani ya kupigana tena hayo? Huwa namwonyesha ishara fulani kama nimechkia na yeye huwa anajua anakua mdogo but as day as going ameanza kupunguza kabisa but before anaweza kumtaja twice a day.
 
mkuu me sipo pamoja nawe. Siku hiz vijana wana wapenz weng
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…