Lasma1922
Member
- Mar 23, 2023
- 38
- 59
Nimeona clips nyingi sana YouTube ambapo wenzetu wanavuta maji kutoka kwenye visima na mabwawa bila kutumia nishati ya aina yoyote, na tuna mpango wa kujaribu hapa chuo cha SUA.
Nlitaka nipate mawazo yenu kama kuna mtu alijaribu huu mfumo changamoto zake zilikuwa wapi na kama alifanikiwa ni kwa kiwango gani.
Nlitaka nipate mawazo yenu kama kuna mtu alijaribu huu mfumo changamoto zake zilikuwa wapi na kama alifanikiwa ni kwa kiwango gani.