UN: Takriban watu 500,000 wakabiliwa na njaa Uganda

UN: Takriban watu 500,000 wakabiliwa na njaa Uganda

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Tafiti za Mashirika kadhaa ya Umoja wa Mataifa zimebainisha kuwa zaidi ya watu nusu milioni sawa na asilimia 40 ya wakazi katika eneo la kaskazini-mashariki mwa Uganda la Karamoja wanakabiliwa na hatari kubwa ya njaa.

Inaelezwa kuwa Mkoa huo umeshuhudia kiwango kikubwa cha utapiamlo hasa kwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano na katika Wilaya ya Moroto pekee, zaidi ya nusu ya wakazi wanakosa mlo wowote kwa siku nzima na usiku angalau mara tatu kwa mwezi.

Aidha, katika baadhi ya matukio, akina mama walilazimika kuwalisha watoto wao pombe ya kienyeji iliyotengenezwa kwa mtama badala ya chakula.

...


More than half a million people in Uganda’s north-eastern region of Karamoja are facing a high risk of hunger and starvation, according to a study by several UN agencies.

Those affected are about 40% of the population in the region.

In Moroto district alone, more than half of the population goes without any meal for a full day and night at least three times a month, the study found.

The region has also witnessed high levels of malnutrition, especially among children under the age of five.

In some cases, mothers were forced to feed their babies on a local brew made from sorghum.

The semi-arid region normally has one rainy season a year and has had historical food security challenges.



Source: BBC News
 
Vi/Vim Movement, Legends Never Die.

Help poor children in Uganda!
 
Back
Top Bottom