UN yaikana taarifa ya Tanzania kuipigia kura Djibouti, Kenya lazima waisafishe Tanzania

Ila hawa jamaa Siku wakijimix watakula cha mbwa koko,ujue Tanzania inaweka rohoni ujinga wa hawa jamaa.Hivi Kenya wanafikiri Personality yao ni kubwa kiasi vile Tanzania waishobokee?Hii illusion ndo inayowaumiza Wakenya.Superiority ndiyo inayowanyima amani hawa watu.Tanzania is the Great Country more and Superior than Kenya and they must know that.
Nenda twitter ukasome matusi wakenya wanaiporomoshea Tz.
Nazidi kuichukia iyo nchi
 
Hivi kwani kama kweli Tanzania iliipigia Djibouti kura kuna ubaya gani?? Mtu si unachagua unayeona anakufaa??
Hiyo ndio inavyoonyesha ujinga wa hawa jamaa, kila siku wamejazana mitandaoni kuitukana na kuichafua Tanzania, bado wanategemea tuwachague, pumbavu sana hawa wakenya.
 
Hivi kwani kama kweli Tanzania iliipigia Djibouti kura kuna ubaya gani?? Mtu si unachagua unayeona anakufaa??
Tatizo ni Kabudi alikwenda Kenya kujitangazia uamuzi wa Tanzania kusupport Kenya
 
Serikali ya Tz imekuwa smart kukaa kimya. Maana haikuwa kazi yake ku-clarify hilo Jambo ingekuwa ni sawa na kuvujisha kura yake ambayo ni siri.
 
Source of this please. There is a possibility it’s a FAKE NEWS.

 
Hukuona official paper with UNSC nembo showing how different countries voted?
What is the legitimacy ya hiyo nembo?, kwani Cosovo ni mwanachama wa UN?.
 
You are right Kosovo is not yet a member of UN and also there is a possibility that official paper with UNSC nembo was FAKE one too, but my question still stands about the SOURCE of this thread.

What is the legitimacy ya hiyo nembo?, kwani Cosovo ni mwanachama wa UN?.
 
You are right Kosovo is not yet a member of UN and also there is a possibility that official paper with UNSC nembo was FAKE one too, but my question still stands about the SOURCE of this thread.
If you accept that paper is fake, that means there is nor need to ask about the other one. It means the first news is not true, therefore there is no need for asking the legitimacy of the paper which denounces.
 
NOPE if that paper was FAKE one it is not justify the legitimacy of this thread. Share the SOURCE of this thread please! So that we can verify it’s LEGITIMACY.


If you accept that paper is fake, that means there is nor need to ask about the other one. It means the first news is not true, therefore there is no need for asking the legitimacy of the paper which denounces.
 
NOPE if that paper was FAKE one it is not justify the legitimacy of this thread. Share the SOURCE of this thread please! So that we can verify it’s LEGITIMACY.
This thread is nor longer valid because it has been proven that all those allegations are not true.
 
It’s no longer valid that means your created this from your own head!? You don’t have any source? 😳😳😳😳

Kuna taarifa kwamba UN imekanusha kwamba hiyo karati inayozunguka mitandaoni sio kweli ni "Fake", ni wazi kwamba hiyo karatasi imetengenezwa na wakenya kama wafanavyo miaka yote kwa lengo baya la kutaka kuipakazia Tanzania.

This thread is nor longer valid because it has been proven that all those allegations are not true.
 
It’s no longer valid that means your created this from your own head!? You don’t have any source? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
" it is no longer valid after it has been proven that paper is fake ", before it was valid.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…