Samahan ndugu zangu, nilikuwa naomba kufahamu juu ya uwalimu wa dilpoma in science wanaapply vip maana nimeshindwa kufanya transaction kati ya mpesa na bodi ya mikopo ile namba trasaction id inaniambia haiko sawa ama bado hawajafungua system.
Naomba kam kuna mtu ama ndungu yako kaomba hii system ya walim dom anifahamishe natakungiliza shukurani