Una fanyaje?

Speaker

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2010
Posts
6,324
Reaction score
2,240
Una fanyaje pale mtu anapo tangaza ndoa kua anataka kumuoa mke wako
Na wewe bado upo hai na unaishi nae ,
tena mna pendana kweli!

Naomba ushuri ili nijue cha kufanya!
Bad thing ni kwamba wote,mke wangu na huyo mwizi ni wana JF!
 
you simply ignore him, asije akapata sifa bure... ila na wewe investigate kidogo uhusiano wake na mkie wako.
 
you simply ignore him, asije akapata sifa bure... ila na wewe investigate kidogo uhusiano wake na mkie wako.

Asante,nilisha mu-ignore sana tu lakini ni mbishi kweli
na sijui anatoa wapi uhakika wa kumchukua mke wangu!

Uhusiano wangu na mke wangu ni mzuri kweli,na karibuni tu tumepata mtoto
 
Na mke wako anakuwa anataka kuolewa au?
Hebu sema kuhusu huyo mke wako kwanza, haafu nitakuambia cha kufanya.
 
Mwenye jibu la swali lako ni mkeo peke yake.
 
Na mke wako anakuwa anataka kuolewa au?
Hebu sema kuhusu huyo mke wako kwanza, haafu nitakuambia cha kufanya.
Hamtaki,ila nae ana utani sana so huwezi
jua kama anacho ongea ni kweli au sio kweli!
 
Una fanyaje pale mtu anapo tangaza ndoa kua anataka kumuoa mke wako
Na wewe bado upo hai na unaishi nae ,
tena mna pendana kweli!

Naomba ushuri ili nijue cha kufanya!
Bad thing ni kwamba wote,mke wangu na huyo mwizi ni wana JF!

Ametangaza official? I mean the 21 days required by law?
 
Mwenye jibu la swali lako ni mkeo peke yake.

Tatizo sio jibu,tatizo ni nimchukulie hatua gani huyu jamaa,
maana katangaza ndoa mda mrefu nikamuacha mke wangu
aamue mwenyewe,
hadi leo hakuna kinacho endelea kwa jamaa, kimya kime tawala!
nipo na mke wangu tunaishi kwa raha,

Nifanyeje kwa huyu jamaa alo mdhalilisha mke wangu?
 

Wala usimfanye kitu huyo jamaa,
Siri ya haya anayajua mke wako,
Wala usiusemee sana moyo wake,

Usije kuta hata huyo mtoto unayemtarajia ni mali ya huyo jamaa.
Shauri yako, tuia andaa msosi kula, nyamaza.
 
Wala usimfanye kitu huyo jamaa,
Siri ya haya anayajua mke wako,
Wala usiusemee sana moyo wake,

Usije kuta hata huyo mtoto unayemtarajia ni mali ya huyo jamaa.
Shauri yako, tuia andaa msosi kula, nyamaza.
Ayaaaaa,i suggest you are wrong
 
Una fanyaje pale mtu anapo tangaza ndoa kua anataka kumuoa mke wako
Na wewe bado upo hai na unaishi nae ,
tena mna pendana kweli!

Naomba ushuri ili nijue cha kufanya!
Bad thing ni kwamba wote,mke wangu na huyo mwizi ni wana JF!


Hapo kwenye bold panaonesha kuwa wewe ndiyo unampenda kweli mkeo,
na siyo kwamba mnapendana,
mngekuwa mnapendana kweli kama unavyosema,
Basi huyo mkeo asingempa matumaini huyo mwoaji mpya wa kuolewa naye.

Hapo juu LD amekuuliza kuhusu mkeo, unasema ukimuuliza eti mkeo,
anacheka cheka tu ksb ana utani mwingi.

Ebo??, Mbona sikuelewi, hivi mwanaume kweli ukae kiume na kumwonesha uso wa kiume mkeo na kuanza kumhoji jambo la muhimu kama hili ,eti aanze kuchekacheka???,
MBONA HAINIINGII AKILINI, UPO SERIOUS KWELI AU UNATANIA??,

kutongozwa kila mtu anatongozwa na hakukatazwi, ila inatakiwa mtongozwaji,
ujieleze wazi kwa mtongozaji kuwa wewe ni mke wa mtu, akatafute mwingine. Sasa Huyo mkeo knn asimwambie huyo mtangozaji kuwa yeye ni mke wa mtu??,kwanini anampa matumaini yasiyotekelezeka?? HIVI NI MKEO KWELI AU HAWALA??,

MI NAHISI WEWE UNATANIA, MTU ANAYETONGOZEWA MKEWE HAWEZI KUWA NA MAJIBU MEPESI KIASI HIKI KWENYE SUALA ZITO KAMA HILI. SIJAKUELEWA KABISA??.
 
Kwa vile kutangaza ni tofauti na kutenda, mpe mda mpaka atakapo tenda ndio umchukulie hatua pamoja na mkeo.Manake labda mkeo anataka kuweka historia ya kuolewa na wanaume wawili kwa wakati mmoja.
 

Ingawa nina avatar ya ki-dictator,napenda sana kumpa mtu uhuru!
Nili acha kumuuliza saaana ili kama hanipendi basi aondoke,
kulazimisha ndoa ni sumu sana!
Lakini sasa,toka jamaa atangaze "ndoa" hiyo hakuna chochote kinacho endelea!

Nikia act kama unavotaka nitapelekwa gerezani na sitaki,naweza though!
Najifunza kua democratic
 
Kwa vile kutangaza ni tofauti na kutenda, mpe mda mpaka atakapo tenda ndio umchukulie hatua pamoja na mkeo.Manake labda mkeo anataka kuweka historia ya kuolewa na wanaume wawili kwa wakati mmoja.

Copy that,ngoja nikusanye ushauri zaidi
 
Kwa maelezo yako, mkeo anataka kukufanya mume mwenza au yeye hataki ila analazimishwa?
 
Huyo jamaa anayetangazia ndoa wake za watu atakuwa na matatizo, atatangazaje ndoa bila maelewano na muolewaji? Mchunguze sana huyo mkeo, au wewe ndo umemchukulia mkewe?
 




Asante nnunu.....
 
Kwa maelezo yako, mkeo anataka kukufanya mume mwenza au yeye hataki ila analazimishwa?

Duh,hiyo nayo point!
najua atakuja tu kutoa ukweli hapa,na nikifika nyumbani itabidi tuongee vizuri
 
Kaka kuiona mpaka imefikia hivyo bac ujue chezo walikuwa wakilifanya tangu long time,kwani huyo jamaa unamfaham na kama ndio kwa nn usimtolee uvivu?unabaki kutia huruma na mawazo tele au hata ngumi hujui?kutumia panga je?napo huwezi?jikaze kiume heshima irudi.
 
Kuna mapanga yanauzwa pale ubungo, yanauwezo mkubwa kiasi cha kuweza kutumika kukata kucha. Kanunue halafu nitakushauri cha kufanya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…