1.Padri na kutubu dhambi kwa RC mtanielewa vyema
2.Mwanasheria ambaye atakuteta ukiwa na kosa la jinai na lazima umwambie ukweli
3.Daktari ambaye atakutibu ugonjwa pengine ni wa zinaa na umechepuka ndo ukzukwa na lazima mwezi atibiwe
Kwa ufupi hizi ni taaluma ambazo ni lazima useme ukweli ili upate huduma sahihi,sasa je kwa kizazi cha sasa hawa watu wana aminika kiasi gani?
Karibu na toa mfano hai ila usiri uzingatiwe,usitaje mtu jina wala mlipokutania.