Una kazi?, Una nyumba?, Una gari?, Una...........???!!

bwana hii mie huwa naisikia kama tangazo redioni:biggrin1:
 

Vipi kuhusu mlikutana vipi ??
Je unampenda??
una matarajio gani katika maisha na binti yetu??
hayo ndo maswali ambayo nilikuwa natajaria kuyaona..
 
Huyo mdingi hana maana kabisaaaaa
 
...Mh! Hivi kuna uwezekano kijana wa siku hizi akaoa binti bila kumchakachua kidogo? Kwa sababu jamaa ni mshikaji wangu sana na yule dada amekuwa naye kwa takribani mwaka na nusu wanajuana vizuri sana mambo ya net work mambo zose si unajua tena!!
Mbona hakujua kama ana mtoto pembeni???????? Vijana bwana, kuweni wawazi!!!!!
 
Hakuulizwa ana Tembo card master card lol matangazo mengine yanawaharibu hadi wazee wetu
Kati ya matangazo ambayo naona hayana logic hili ni mojawapo, ningekuwa marketing manager wa crdb ningebadilisha haraka. huyo mzee kakopi tu humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…