Una maoni gani kuhusu wanawake wa aina hii?

Wewe, yaani familia yako ilale njaa kisa hutaki kuonekana mkosefu wa "akili"? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Kweli kabisa, yaani mkichangia nyote ndivyo life yenyu inakuwa nyweee! Lakini mtu mmoja awe ndio tegemeo, na sio ati mwenzake ni kilema au ana shida zingine, yupo yupo tu, basi maisha yatakuwa tight na yatasonga kinyonga nyoga vile. Sio advisable kabisa. Two heads are better than one. ✌️
 
Leo umeamua naona! 😬😬😬
 
Kabla hatujagawana nakuchukua msukule mali zangu ziongezeke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…