Una maoni Gani na style hii ya ushangiliaji?

Labda niulize walishangilia wapi....Namaana Bara au Zanzibar?.ili niweze kutoa maoni yangu kwa hii staili.
 
Aiseee [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Sijawahi kuona wanafanya hivo mbele ya nyosso[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hiyo siyo style nzuri ya kushangilia kwani inaweza leta tafsiri mbovu.
 
Ila hii stairi ya yanga ni balaa
Huenda haka kasitairi kakawa ka ushoga
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Samahan mashabiki wa Yanga
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Baada ya kichapo cha jana nakutambua yakuwa wenye nafasi yao wamerudi naona mnaanza kujifariji kwa kashfa,simba buanaa i mean vyura wa snura buaana kama ccm vile,wanaongozwa kwa matukio
 
Alama 5 zimebaki... Naona mnaweweseka mpaka mnakosa cha kuandika...

Kuweni makini na mjiandae kisaikolojia kabisa....

Narudi nafasi yangu..
 
Uliyeleta uzi huu wewe ni Mtanzania halisi...kujadili mambo yasiyo na maana, kila siku mawazo hasi, kulalamikalalamika, fikra hasi kwa kila jambo na kuacha mambo ya maendeleo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…