Millionaire Mindset
Member
- Apr 19, 2018
- 83
- 115
UNA MATATIZO AMBAYO YANAKUSUMBUA LAKINI HUJUI WAPI PA KUANZIA KUYATATUA?
JE, unafikiri ni nani wa kulaumiwa kwa changamoto na matatizo yote unayopitia? Ni mzazi, mlezi, Ndugu, Jamii au serikali yetu?
Na Je, unajua kuwa kusuluhisha tatizo lolote lile bila kujua chanzo chake, ni kama kushindana na mti kwa kupukutisha matunda bila kushughulikia mizizi, shina na matawi yake? Zoezi lako litafanikiwa kwa msimu mmoja tu, lakini jiandae; kwa sababu matatizo hayo (matunda) yatarudi tena mwakani, na mwaka ujao, na mwaka mwingine na mwingine mpaka pale utakapoamua kuyatatua matatizo yako kwa njia iliyo sahihi. Yaani; ung`oe mizizi, shina na matawi yake yote; lakini pia uzitambue mbegu zake na kuziondosha kabisa kwenye eneo lako.
Nakukaribisha “Life Mindsets” ulimwengu wa Saikolojia, uchumi, Afya na Elimu; ambako tutajifunza mambo mbalimbali kuanzia katika ngazi ya mtu binafsi, kwenda katika familia mpaka kwa jamii inayutuzunguka, mambo ambayo yanaathiri jinsi tunavyofikiri, tunavyofanya maamuzi, tunavyo tenda, mafanikio yetu na Tabia zetu kwa ujumla.
Lakini pia tutajifunza ni jinsi gani mambo hayo yanaathiri Afya zetu na uchumi wetu kwa kiasi kikubwa.
INAENDELEA!
JE, unafikiri ni nani wa kulaumiwa kwa changamoto na matatizo yote unayopitia? Ni mzazi, mlezi, Ndugu, Jamii au serikali yetu?
Na Je, unajua kuwa kusuluhisha tatizo lolote lile bila kujua chanzo chake, ni kama kushindana na mti kwa kupukutisha matunda bila kushughulikia mizizi, shina na matawi yake? Zoezi lako litafanikiwa kwa msimu mmoja tu, lakini jiandae; kwa sababu matatizo hayo (matunda) yatarudi tena mwakani, na mwaka ujao, na mwaka mwingine na mwingine mpaka pale utakapoamua kuyatatua matatizo yako kwa njia iliyo sahihi. Yaani; ung`oe mizizi, shina na matawi yake yote; lakini pia uzitambue mbegu zake na kuziondosha kabisa kwenye eneo lako.
Nakukaribisha “Life Mindsets” ulimwengu wa Saikolojia, uchumi, Afya na Elimu; ambako tutajifunza mambo mbalimbali kuanzia katika ngazi ya mtu binafsi, kwenda katika familia mpaka kwa jamii inayutuzunguka, mambo ambayo yanaathiri jinsi tunavyofikiri, tunavyofanya maamuzi, tunavyo tenda, mafanikio yetu na Tabia zetu kwa ujumla.
Lakini pia tutajifunza ni jinsi gani mambo hayo yanaathiri Afya zetu na uchumi wetu kwa kiasi kikubwa.
INAENDELEA!