Una miaka 37-45?

bado tu hujapata?

are u sure na wewe hujadanganya sifa zako hapa?
 
Dorcas let us chat I don't how can we exchange info. Thank you!
 
Dah, bahati ilioje..nashukuru hujawa mbaguzi sana wala mdini,mi nimeoa, nina wake wa 3 (Dini yangu inaruhusu)..vp, upo poa kuwa mke wa 4??!!
 
Dah! Mie nina sifa zote kasoro hapo kwenye kilolo ndio shughuli-siwezi acha, vp utanivumilia? Ntakua napiga mitungi yangu home siendi bar, alafu mie nikiwa chakali wala sio msumbufu, nalala tu dear, please nikubalie basi alafu nikuPM!
 
Nimefurahi jinsi Dorcas alivyojieleza. ni tofauti kabisa na wale wehu waliofungwa na imani za dini za ajabu wakijifanya bora kuliko wengine hadi kubagua makabila!
Namtakia kila la heri huyu Dorc, lazima ni m dada mwenye busara. hiyo ya kuwatenga wafupi nadhani alipitiwa tu arekebishe post yake.
si wa dada wengi wako radhi kulea watoto wa kambo
 
You seem like a true lady..., kwa yote niliyoyaona mpaka sasa you will make someone very lucky..., all the best
 

Nami pia natafuta. Tafadhali tuwasiliane kama tu unakidhi vigezo:

 
Mtu makini mwenye akili timamu na fikra pevu hawezi kuleta utani katika kitu cha maana, jamani kwa ambaye hayoku tayari kuliko kuanza kuandika utani na kwenda nje ya mada mngenyamaza,mwenzenu anashida hivyo anataka aliyeko tayari wawasiliane.
Kama huna vigezo mpotezee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…